sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
2016 hadi 2020 ni kipindi ambacho watu wengi sana walikuwa wahanga wa kuziamini habari za kumchafua Mwamba, hasa hapa kwetu Tz ilikuwa rahisi sana kuwa brainwash wabongo, hata humu JF 98% walikuwa brainwashed kumchukia Trump, ni wachache sana tuliusoma mchezo.
Trump ndie raissi mpenda amani, Hakuona shida kwenda North Korea kwa Kim Jong Un kulegeza bifu, na kweli Kim Jong Un hicho kipindi hakurusha makombora kama alivyoanza sasa,
Trump was a no nonsense man lakini alipenda amani, Jeshi lilikuwa active sana na lilikuwa na baketi kubwa mno, Isis ilifutwa haraka mno hakuna mambo ya siasa, Ni kipindi ambacho hata Putin alitulia kwa kumheshimu Trump, Putin kavamia nchi jirani kipindi cha Bush, Obama na sasa kwa Biden ila alitulia kipindi cha Trump. Peace through strength
Aliweka rekodi kubwa sana za kiuchumi ambazo hata obama anakiri hakuweza kudhani zitakuja kuwepo
Aliweka rekodi kubwa sana za ajira
Aliweka rekodi ya kuweza kudhibiti maharamia wasiingie nchini kiholela na waliowahi kuingia kimagendo kuwa deported, Tangu alivyoondoka hadi sasa maharamia milioni 12 wameingia Marekani.
Trump ndie raissi mpenda amani, Hakuona shida kwenda North Korea kwa Kim Jong Un kulegeza bifu, na kweli Kim Jong Un hicho kipindi hakurusha makombora kama alivyoanza sasa,
Trump was a no nonsense man lakini alipenda amani, Jeshi lilikuwa active sana na lilikuwa na baketi kubwa mno, Isis ilifutwa haraka mno hakuna mambo ya siasa, Ni kipindi ambacho hata Putin alitulia kwa kumheshimu Trump, Putin kavamia nchi jirani kipindi cha Bush, Obama na sasa kwa Biden ila alitulia kipindi cha Trump. Peace through strength
Aliweka rekodi kubwa sana za kiuchumi ambazo hata obama anakiri hakuweza kudhani zitakuja kuwepo
Aliweka rekodi kubwa sana za ajira
Aliweka rekodi ya kuweza kudhibiti maharamia wasiingie nchini kiholela na waliowahi kuingia kimagendo kuwa deported, Tangu alivyoondoka hadi sasa maharamia milioni 12 wameingia Marekani.