Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,783
- 95,575
Inawezekana ya kwako sio Kati ya ninazoziongelea. Wenye raha zenu mpoNakataaaa
Inawezekana ya kwako sio Kati ya ninazoziongelea. Wenye raha zenu mpoNakataaaa
usiwasikilize wanao ku-disappoint. Ndoa tamu usiskieJuzi nimetoa thread Nimeshauriwa mpk Nikafarijika, Naona Wanani disappoint tena walaqhii.!!
wachche sana wanaojua wajibu kwa wake zao..labda uwe mmoja wao ww..Ngoja ntulie. Maana naweza toa ushuhuda ujue
Hahahahah
Mambo ni poa Kasiee....
Huko milimani J3 napandisha,
Nami naenda kukabidhiwa kihamba eti nijenge!!?
Sasa nijenge alafu aishi nani? Wkt Kasie hataki ndoa??
Watajenga wenyewee bhanaa!!
Love you Kasieeee
hahaha muamala haujaonekana bado mayb netwek..thnx in advanceUmeipata, weekend ni siku yoyote ile ya juma unayotaka na unayoamua iwe weekend.
Enjoy.
Ili ndoa idumu ni lazima mmoja ajifanye boya
😂😂😂nadhan nna mengi ya kujifunza hapa kwako..ilikuaje ukatoka😊Sasa Mangii, wee hicho kihamba chukua kisha jenga, ukipata mbbora oa ukikosa akina Kasie tutakuja siku moja moja kutia baraka ila hiyo taasisi siitamani hata kidoncho.
Safari njema Mangii.
Ni misingi flani flani tu demi, na sio kwamba hawana mikwaruzani, ipo ila overall hawajawahi jutaInawezekana ya kwako sio Kati ya ninazoziongelea. Wenye raha zenu mpo
Nimeona mahali unakunywa Imagi, inauzwa shilingi ngapi hiyo chupa? Ni PM namba ya muamala nikurushie ufurahie maisha kwa koo.
Cheers.
HahhahahaahSasa Mangii, wee hicho kihamba chukua kisha jenga, ukipata mbbora oa ukikosa akina Kasie tutakuja siku moja moja kutia baraka ila hiyo taasisi siitamani hata kidoncho.
Safari njema Mangii.
Ni kweli, ni wachache sana! Na Mimi pia sijui kama nimo humowachche sana wanaojua wajibu kwa wake zao..labda uwe mmoja wao ww..
Ni misingi flani flani tu demi, na sio kwamba hawana mikwaruzani, ipo ila overall hawajawahi juta
Huwez kuwemo ww...bado unapretendNi kweli, ni wachache sana! Na Mimi pia sijui kama nimo humo
NN acha bas mdogo wako nipate hyò bas ww huyu si unaye muda mwingi tu😊😊!bhebhe shi!😊Na mimi naomba....
NN acha bas mdogo wako nipate hyò bas ww huyu si unaye muda mwingi tu😊😊!bhebhe shi!😊
😂😂👊saluteBhe nangh’o ka lekaga shi ubhubhi bho ngh’olo!
Sikuwahi kuingia kwenye hii taasisi Ila kwa mahusiano niliyopitia siitamani hata.😂😂😂nadhan nna mengi ya kujifunza hapa kwako..ilikuaje ukatoka😊
Time will tellsasa ww una miaka mi3 ya ndoa atajuta nn hapo😊😊mie mwenyew nilikua nasikizwa sana tu sasa hv ht nikiomba big G original atasingizia watoto..atasema sna hela nimetoa ada sn kbs ..bas anikute nadamshi kwa kamshahara kangu bado ubwate!ww km umeshindwa mtunza mkeo ni bora uache ajitunze mwenyewe..👊