ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,394
Biblia imeficha siku na saa Kahusu ujio wa Yesu Christ. Haijatuficha majira. Ni kama kifo cha mwanadamu tumefichwa siku na saa lakini sio miaka.
Kifo cha mwanadamu ni miaka 70-80. Kuhusu unyakuo wa kanisa na mwisho wa dunia, Biblia imetoa ratiba za wazi kabisa. Kama husomi ni wewe tu umeamua kutosoma.
U kweli ni kwamba tumefika. Hapa tulipo tupo muda wa nyongeza. Na muda wa nyongeza unayoyoma sana. Cha ajabu, wachungaji hawafundishi hiki kitu sijui kwa nini.
Na wakristo wengi wamelala. Hawajui kabisa kwamba tumefika wapi. Ndugu zangu, hiki kitu kimekaribia sana
Tukifika 2033 unyakuo haujatokea ni bahati sana, sana, sana.
Ushauri wangu amka, acha uzembe mkristo, kama huna Yesu mtafute. Muda hatuna tena.
Ghazabu ya Mungu I malangoni, hutaweza maisha baada ya unyakuo. Maisha yatakuwa hatari sana. Unyakuo uko karibu mno, mno. Shuhudia watu, fundisha watu, wapeleke watu kwa Yesu
Kifo cha mwanadamu ni miaka 70-80. Kuhusu unyakuo wa kanisa na mwisho wa dunia, Biblia imetoa ratiba za wazi kabisa. Kama husomi ni wewe tu umeamua kutosoma.
U kweli ni kwamba tumefika. Hapa tulipo tupo muda wa nyongeza. Na muda wa nyongeza unayoyoma sana. Cha ajabu, wachungaji hawafundishi hiki kitu sijui kwa nini.
Na wakristo wengi wamelala. Hawajui kabisa kwamba tumefika wapi. Ndugu zangu, hiki kitu kimekaribia sana
Tukifika 2033 unyakuo haujatokea ni bahati sana, sana, sana.
Ushauri wangu amka, acha uzembe mkristo, kama huna Yesu mtafute. Muda hatuna tena.
Ghazabu ya Mungu I malangoni, hutaweza maisha baada ya unyakuo. Maisha yatakuwa hatari sana. Unyakuo uko karibu mno, mno. Shuhudia watu, fundisha watu, wapeleke watu kwa Yesu