ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,394
Ukifanya tendo la ndoa na mke wako, ajabu ni kwamba hata ukitoka hapo unakuwa na Amani tena sana. Unaweza kuamua kufanya maombi kwa Amani kabisa
Tendo hilohilo la ndoa fanya na mtu mwingine asiekuwa mke wako, utaona kimbembe, utakosa Amani, unakosa ujasiri, huwezi hata kuomba, unahukumia moyoni balaa hata kama umefanya sirini. Unakosa kujiamini.
Zinaa ni dhambi mbaya sana, inatukosesha Baraka nyingi kutoka kwa Mungu. Kaa na mke/ mme wako hata kama kuna matatizo.
Uzinzi ni dhambi mbaya mno!
Tendo hilohilo la ndoa fanya na mtu mwingine asiekuwa mke wako, utaona kimbembe, utakosa Amani, unakosa ujasiri, huwezi hata kuomba, unahukumia moyoni balaa hata kama umefanya sirini. Unakosa kujiamini.
Zinaa ni dhambi mbaya sana, inatukosesha Baraka nyingi kutoka kwa Mungu. Kaa na mke/ mme wako hata kama kuna matatizo.
Uzinzi ni dhambi mbaya mno!