Hapa umejibu kitaalumaHakuna chama Wala mgombea mwenye hati miliki na Jimbo lolote Tanzania Hilo ulijue
ASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
Nilijua Tu Mayo lazima UjeTena mumewe mzuri kweli
Hakuna haja ya vita waamuzi Ni wana mbeya.hakuna mwenye hati miliki ya jimbo wala nchi mkuuLabda aende akachukue jimbo linalomilikiwa na S.H.Amon kwa sasa, pale Tukuyu. Vinginevyo atatafuta vita na Sugu pale Mbeya mjini.
Nilijua Tu Mayo lazima Uje
Kuchukua fomu Ni haki yake, mtampiga chini kwenye sanduku la kura kama hamumuhitajiMbeya mjini tayari tunaye mbunge wetu wa kudumu mh sana Sugu
Kwa sasa Ni mbunge wa jimbo la magogoniHiv n mbunge wawap huyu mama
ASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
UnafikiAmeyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
dada angu mwenye roho yake Anachukua Ubunge Mbeya asubuhAlafu na mm nilipanga nikuite ujue dada lako
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
mbona jiwe hataki wengine wachukue formni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki