Uchaguzi 2020 Tulia Ackson: 2020 nitagombea

Huyo ni puppet tu hana sifa ya kuwa mbunge mzuri, hawezi aka-reason independently.
Yeye na mwenzake Ndugai ni bure sana.
They're true sycophants and Magufuli's protégés.
 
Hongera zake, Ni haki yake kikatiba ila aache kutoa mlungula kwa sasa asubiri wakati mwafaka wananchi wataamua kama wanamhitaji au lah
 
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.

"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson

View attachment 1185297
Unafiki
 
Mbona anazidi kuisha..
Labuda atagombea u spika wa bunge
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.

"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson

View attachment 1185297
 
ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki
mbona jiwe hataki wengine wachukue form
 
Back
Top Bottom