Kabadili gia angani anachukua lile lingine hilo ameogopa aibu kama iliyompata yule mama wa kibambaASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
Mmmh, kwahiyo unasema ana bwawa!!!Kwamba ukitaka kujua muundo wa papuchi basi angalia lips? Basi sawa wakuu.
Ila kwny urais mwanachama wa CCM akionyesha nia audio zake lazima zivujishwe.ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
Kugombea ni haki ya kila mtu kama hajaziuliwa na sheria yoyote. Dr. Tulia Bernard Membe Tundu Lissu Luke na Ollachuga Oc na wengine wote tuna haki ya kugombea. Tofauti ni Ollachuga Oc yeye atagombea umeneja wa Chelsea, anataka kumtoa Lampard. | |
|
Kwa utaratibu wa CCM ameshakiuka utaratibu wa kujitangaza hadharani atakatwa asipo katwa basi na wengine wasikatweAmeyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati miliki
Ana haki ya kugombea ila tunamshauri aende kwao Busokelo. Mbeya Mjini ni kwa wana Mbeya Mjini ila kuna watu wamemdanganya kuwa Mbeya Mjini hakuna watu wa kugombea. Tunasubiri Bashiru Ally atakaposema GO, ndiyo Tulia atajua kuwa Mbeya ina wenyewe.Mbona wengi walishajua kwamba anaandaliwa kugombea jimbo huko Mbeya.. Na imeenda mbele zaidi kwamba anaandaliwa kuwa spika wa bunge lijalo 2020-2025..
Mbona chadema mnajiita chama Cha demokrasia Lakini hamtaki Tulia atumie demokrasia yake kugombea.Mkoje ninyi ? Ilitakiwa ninyi muwe was kwanza kutamka kuwa Ni haki yake ya kidemokrasia kugombea.Unajua munaonekana matapeli You don't walk the talk.Mnaimba demokrasia demokrasia ikifika kuifanyia kazi mnageuka!!!Jimbo LA Arusha mjini,Kigoma mjini na kwa Bashe kule-Nzega..
ndio size yake..akagombee huko!
Hakuna chama Wala mgombea mwenye hati miliki na Jimbo lolote Tanzania Hilo ulijueAna haki ya kugombea ila tunamshauri aende kwao Busokelo. Mbeya Mjini ni kwa wana Mbeya Mjini ila kuna watu wamemdanganya kuwa Mbeya Mjini hakuna watu wa kugombea. Tunasubiri Bashiru Ally atakaposema GO, ndiyo Tulia atajua kuwa Mbeya ina wenyewe.
Kamwe Tulia hana sura ya kuwakilisha Mbeya Mjini.