Tukuyu: Waumini KKKT wamfukuza Baba Askofu Dkt. Edward Mwaikali

Waumini wa kanisa la KKKT Usharika wa Tukuyu Mjini ulioko Dayosisi ya Konde wamemfukuza kanisani hapo Baba Askofu wa Dayosisi hiyo Dkt. Edward Mwaikali.

Waumini hao wamedai kuwa Askofu huyo hawasikilizi na amekuwa akiwafukuza kazi wachungaji wasiomuunga mkono katika maamuzi yake.

Pia soma: Mbeya: Wachungaji 25 wa KKKT Wafutiwa ajira ya Uchungaji Dayosisi ya Konde
Watanzania tungekuwa na msimamo kama huu na kwenye uongozi wa nchi tungeendelea kwa kasi ya ajabu!
 
Inawezekana waumini wengi wapo Rungwe kama unavyosema lakini Tukuyu ipo pembeni sana kiasi kwamba mtu wa kutoka Tunduma au Rujewa Mbarali
akitaka huduma ina mgharimu pakubwa tofauti na Mbeya ambapo anweza akaenda na kurudi the same day na cost zikapungua.



Tatizo sisi wanyakyusa ubinafsi unatusumbua sana. Kwani kuna tatizo gani Dayosisi kuhamishwa sehemu nyingine? Mbona Magufuli alihamisha ofisi za serikali Dar kwenda Dodoma?
Hivi ni huduma gani muumini anaenda kuifuata huko makao makuu ya dayosis ,sijui jimbo
Mi najua wale watumishi wa jimbo wanakuwa wakisafiri kwenda huko kwingine kama kuna lolote la kufanya huko
Sipingani na wewe kama kweli kuna huduma waumini wanafuata jimboni
huduma gani sasa
tusaidiane tu ili tujue na sisi twende jimboni
 
Imani yangu juu ya haya makanisa kuhusu, mienendo na misimamo ya viongozi nakata Tamaa.

Tofauti na nilivyoaminishwa nikiwa mdogo
Sasa ulivyokua mdogo ulitaka uaminishwe Nini zaidi ya ulichoamini!?

Ukiamua kua mpagani amua mwenyewe usitafute visababu.
 
Bado CCM siku yao inakuja nao

Lunatic
1629796235293.png

HATUNA IMANI NA WAPINZANI TENA KWA UJINGA HUU

2878995_images_9.jpeg
 
Baadhi ya Maaskofu wa KKKT wanaotokea Mbeya ni controversial, Huyo, Mwaipopo wa Sumbawanga, Wa Mashariki na Pwani naona sasa upepo umetulia.
Na Bagonza je huko Ngara?
Kilaini mpaka alihamishwa Dar kwenda Bukoba?
Mdegela wa Iringa?
Acha hao walio katika mainstream churches!
Tuingie Mzee wa upako, Kakobe, GeorDavie?
Hao unaseaje?
 
Huyo Askofu wanachomlalamikia Ni kutofuata Taratibu za kuhamalisha makao makuu

Waumini wanatakiwa kuridhia

Waumini wakigoma anafukuza wachungaji anasema ndio wanachochea waumini !!! So kweli haiwezekani wakawa wachungaji 25 makanisa tofauti wote lao moja angekuwa mmoja au wawili hapo sawa lakini 25 dayosisi moja sio kweli huyo Askofu ana shida.Mimi.ningeweza kuwa convinced Kama Ni wawili au watatu lakini 25 !!!! Tena makanisa mbalimbali yeye ndie mkorofi anayegombana na kila Mchungaji

Anyway KKKT makao makuu chukueni hatua pelekeni Askofu mwingine wa Mpito haraka Mtafuteni popote .Hilo tatizo lilishawahi tokea sehemu nyingi tu ikiwemo Dayosisi ya KKKT ya mashariki na Pwani wakati huo ikiongozea na Askofu Mhuni na fisadi Jerry Mngwamba aliyekuwa Mchungaji pale Azania Front.KKKT ili respond haraka bila kusubiri Serikali iingilie Kati wakamuweka pembeni akashika Askofu wa Muda toka nje ya Dayosisi Palipotulia wakaitisha uchaguzi ndio Akapatikana Askofu Malasusa

KKKT ni Kanisa lenye hadhi muwekeni pembeni huyo mhuni ,kibaka na fisadi wekeni pembeni pelekeni Askofu wa Muda toka Dayosisi zingine asimamie Hadi kutulie.Arudishe wachungaji wote waliofukuzwa na apewe muda halafu aitishe uchaguzi akishaona Hali tulivu Kama ilivyofanyika Dayosisi ya Mashariki na Pwani ambamo Dar es salaam imo
 
Milele Amina
Tumsifu Yesu Kristu.

Kuna tofauti gani Kati ya Kristo na Kristu?
Yote ni tafsiri sahihi ya kiswahili. Kristu limetafsiriwa kutoka kilatini, Kristo limetafsiriwa kutoka kigiriki. Hiyo imepelekea yote mawili kutumika kwa pamoja.
 
Malasusa ana shida gani?

Hakuna askofu mzuri kama Malasusa, labda wewe kama unamuangalia kwa jicho uchadema na uchaga!

Kuna kale kaaskofu kule Karagwe kale kafupi kama nyundo kale ni kadikteta kwenye ile dayosisi hakuna mwenye sauti.
sasa chadema na uchagga umekujaje mkuu....tusibaguae kwa namna yoyote Tanzania ni yetu sote.....TUIJENGE......unamtetea huyo mpumbavu anataka kubadilisha ktb ili aendelee....punguani wewe...kwani hakuna mwingine anaefaa......???tamaa ya mali na ukahaba vinamsonga.....ajipange vema...
 
Yote ni tafsiri sahihi ya kiswahili. Kristu limetafsiriwa kutoka kilatini, Kristo limetafsiriwa kutoka kigiriki. Hiyo imepelekea yote mawili kutumika kwa pamoja.
Kristu ni wakatoliki na kristo ni waporestanti
 
Imani yangu juu ya haya makanisa kuhusu, mienendo na misimamo ya viongozi nakata Tamaa.

Tofauti na nilivyoaminishwa nikiwa mdogo
Nashangaa sana mtu anaye waamini hawa watu..kama wokovu ni bure kwa yeyote anaye amini tunawapa vipi credit hawa viumbe wenzetu..kama maandiko kila mtu anaweza sima na kujifunza..waafrika tuache utumwa wa kifikra...wakuheshimiwa ni wazazi tu hata maandiko yamewataja wazi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huwezi kuta upuuzi kama huu ndani ya kanisa la mitume CATHOLIC
Makanisa na misikiti yametengeneza misukule ambao hawezi kuhoji..nikama kondoo waendavyo machinjioni..

Ila hao viongozi wenyewe eti wanahaki ya kutuhoji sisi huu ni upumbafu na ujinga..hao sio miungu ni watu kama mimi na wewe na wana kufa na kuoza kama wengine wote.

Sina muda wa kumnyenyekea mwanadamu mwenzangu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huyo Askofu wanachomlalamikia Ni kutofuata Taratibu za kuhamalisha makao makuu

Waumini wanatakiwa kuridhia

Waumini wakigoma anafukuza wachungaji anasema ndio wanachochea waumini !!! So kweli haiwezekani wakawa wachungaji 25 makanisa tofauti wote lao moja angekuwa mmoja au wawili hapo sawa lakini 25 dayosisi moja sio kweli huyo Askofu ana shida.Mimi.ningeweza kuwa convinced Kama Ni wawili au watatu lakini 25 !!!! Tena makanisa mbalimbali yeye ndie mkorofi anayegombana na kila Mchungaji

Anyway KKKT makao makuu chukueni hatua pelekeni Askofu mwingine wa Mpito haraka Mtafuteni popote .Hilo tatizo lilishawahi tokea sehemu nyingi tu ikiwemo Dayosisi ya KKKT ya mashariki na Pwani wakati huo ikiongozea na Askofu Mhuni na fisadi Jerry Mngwamba aliyekuwa Mchungaji pale Azania Front.KKKT ili respond haraka bila kusubiri Serikali iingilie Kati wakamuweka pembeni akashika Askofu wa Muda toka nje ya Dayosisi Palipotulia wakaitisha uchaguzi ndio Akapatikana Askofu Malasusa

KKKT ni Kanisa lenye hadhi muwekeni pembeni huyo mhuni ,kibaka na fisadi wekeni pembeni pelekeni Askofu wa Muda toka Dayosisi zingine asimamie Hadi kutulie.Arudishe wachungaji wote waliofukuzwa na apewe muda halafu aitishe uchaguzi akishaona Hali tulivu Kama ilivyofanyika Dayosisi ya Mashariki na Pwani ambamo Dar es salaam imo
Mkuu hibyo ni sawa kabisa.
Askofu Mwaikali inabidi apigwe chini kwa kuelemewa na kazi na kupungukiwa hekima.
Hawezi tena kuwa Askofu.
Uaskofu siyo uCEO.
 
Back
Top Bottom