Umepinga nini na umejibu nini? Kristo kwa wakatoliki ni kuiga waprotestanti. Vitabu vya kabla ya 1990 hakukuwa na kristo bali kristu. In fact kuna mkristo na mkristuSio kweli! Mimi ni mkatoliki, tunatumia yote. Waprotestant labda ndio hawana Kristu sababu imetokana na kilatini.