Tukuyu: Waumini KKKT wamfukuza Baba Askofu Dkt. Edward Mwaikali

Swali fikirishi,Je ni kwanini Maaskofu,Watawa na makasisi wa Kanisa Katoliki wanaheshimika sana na kuaminika kwa jamii pamoja na waumini wao kuliko madhehebu mengine?

JIBU; Mbali na sababu nyingine kama vile viwango vya elimu,Nimegundua kwamba kitendo cha Watawa wakatoliki kula nadhiri za useja na kujitoa kufunga ndoa na kanisa zimewafanya waumini wao kuwaheshimu sana.Jaribu kufikiria kiongozi ni Askofu alafu ana mke na watoto,Je kwa akili za haraka haraka mtu huyu kweli ataweza kulitumikia kanisa na kulisha kondoo za Bwana? Ni vigumu kutumikia mabwana wawili! Patia picha huyo askofu ametoka nyumbani amekorofishana na mke wake na mtoto wake wa kiume anatumia madawa ya kulevya na binti yake amefumaniwa gesti na mume wa mtu! Huyu kweli atakuwa sawa?! Sikatai huenda wapo mapadre wanaenda kinyume na nadhiri zao lakini angalau anafanya hivyo akijua anakosea na haiwi kwa uhuru na wingi kiasi cha kuathiri kanisa kiujumla!

Hata wewe ukiona mtu amejitoa maisha yake kutokuoa/kutokuolewa kwa ajili ya Kristu lazima utampatia heshima kuliko yule aliyeoa/kuolewa huku anahudumia kanisa!
 
Huyo Askofu wanachomlalamikia Ni kutofuata Taratibu za kuhamalisha makao makuu

Waumini wanatakiwa kuridhia

Waumini wakigoma anafukuza wachungaji anasema ndio wanachochea waumini !!! So kweli haiwezekani wakawa wachungaji 25 makanisa tofauti wote lao moja angekuwa mmoja au wawili hapo sawa lakini 25 dayosisi moja sio kweli huyo Askofu ana shida.Mimi.ningeweza kuwa convinced Kama Ni wawili au watatu lakini 25 !!!! Tena makanisa mbalimbali yeye ndie mkorofi anayegombana na kila Mchungaji

Anyway KKKT makao makuu chukueni hatua pelekeni Askofu mwingine wa Mpito haraka Mtafuteni popote .Hilo tatizo lilishawahi tokea sehemu nyingi tu ikiwemo Dayosisi ya KKKT ya mashariki na Pwani wakati huo ikiongozea na Askofu Mhuni na fisadi Jerry Mngwamba aliyekuwa Mchungaji pale Azania Front.KKKT ili respond haraka bila kusubiri Serikali iingilie Kati wakamuweka pembeni akashika Askofu wa Muda toka nje ya Dayosisi Palipotulia wakaitisha uchaguzi ndio Akapatikana Askofu Malasusa

KKKT ni Kanisa lenye hadhi muwekeni pembeni huyo mhuni ,kibaka na fisadi wekeni pembeni pelekeni Askofu wa Muda toka Dayosisi zingine asimamie Hadi kutulie.Arudishe wachungaji wote waliofukuzwa na apewe muda halafu aitishe uchaguzi akishaona Hali tulivu Kama ilivyofanyika Dayosisi ya Mashariki na Pwani ambamo Dar es salaam imo
Kwa niniumshambulie askofu eti kwa kutofuata taratibu, na kwamba ni mhuni, kibaka na fisadi? Kwa ushahidi upi?

Mbona kanisa limeshatoa statement kwamba utaratibu mzima wa hatua zote kwa mujibu wa katiba yao ulifuatwa! Na wamesema wazi vikao vya maamuzi vilishirikisha na hao wachungaji!

Kwani wachungaji walkways 25 hawawezi kukosea? Au waumini wanaosali makanisa yao hawawezi kukosea?

Hiyo ni taasisi ina katiba, vyombo vya maamuzi na “hierachy“.

Ninachokiona hapo ni ukabila au ubinafsi wa hao jamaa wa eneo la Tukuyu. Tena wametanguliza ubinadamu badala ya utashi wa Mungu na kuheshimu mamlaka yake halali.
 
Napenda katiba ya kanisa la KKKT yaani waumini wana nguvu kuliko askofu, ila nenda kwa RC, Wasabato na makanisa ya New Age ndo utajua kwa nini Yesu alisema "acheni ngano na magugu vikue pamoja..." 😷!.
 
Huyu Askofu ametufedhehesha sana kwa kukosa hekima.
Ile kulazimisha kuhamisha Makao Makuu, kutosikiliza waumini wanasemaje, kufukuza wachungaji, hii ni kiburi.
Kiburi si sifa nzuri kwa Askofu.
Na bado alikuwa na ujasiri kwenda kule aliko wadharau, Tukuyu Cathedral.
Kilichompata hapo Tukuyu ni laana.
Askofu kuzomewa madhabahuni kumemshusha sana Mungu.
Na Mungu hadhihakiwi.
Mimi kwa kweli machozi yalinitoka nilipoona clips za Askofu kuzomewa.
Nimefedheheka sana.
Askofu hana jinsi, ajishushe tu.
Mungu hashushwi na kitu wala mtu yeyote. Tabia mbaya za kibinadamu kamwe haziwezi kumshusha Mungu.yeye ni Mungu na atabaki kuwa Mungu
 
Katolic inaendeshwa kisiasa! Waumini wake ni kama makondoo!

Utasikia padri kabaka au kulawiti na ushahidi upo lakini miumini ipo tu huku mkuu akiendelea kudhalilisha ukristo!

Mtu kama hujatoa mchango wa jumuiya huwezi kubatiza au kufunga ndoa, hiyo si ni kuuza huduma?

Mkuu unaelewa maana ya ku „ belong“. Hata maji ya ubatizo yanachotwa. Either you in or out. Baridi au Moto. Hakuna Mchungaji atakayemnyima muumini huduma kwa sababu ya hela kama kweli huyo mtaka huduma kwa maneno, matendo na maisha yake hawezi kulipia mchango wa jumuiya. Ni taratibu za kawaida ya maisha mana kanisa Ni visible sign. Na linaishi duniani.
 
Katolic inaendeshwa kisiasa! Waumini wake ni kama makondoo!

Utasikia padri kabaka au kulawiti na ushahidi upo lakini miumini ipo tu huku mkuu akiendelea kudhalilisha ukristo!

Mtu kama hujatoa mchango wa jumuiya huwezi kubatiza au kufunga ndoa, hiyo si ni kuuza huduma?
Ukiongea uongo unapata faida gani? Ni parokia gani kama utoi michango ubatizi?!au ufungi ndoa?! Shetani ni baba wa uongo na wewe ni mwanae!!
Kanisa ni moja tu Takatifu Katoliki la mitume, kubaka kwa padre au muumini yeyote ni msalaba wake wala si wa waumini wote!!

Kanisa limejengwa juu ya mwamba na milango ya kuzimu haitalitikisa,vita ni vikubwa miaka yote, kanisa halijawahi kujibu wala kulumbana kazi ni moja tu!! kuhubiri habari njema za Mungu kubatiza na kuwapa wanadamu maarifa waweze kumtumikia Mungu na kufurahia kazi ya mungu hapa duniani. Kusaidia wahitaji kama wagonjwa,yatima,wajane,wasio jiweza na wengine wote wanaoitaji msaada wa kiroho na kimwili katika kuvaa,kunywa na kula.Tumsifu Yesu Kristu.
 
Ukiongea uongo unapata faida gani? Ni parokia gani kama utoi michango ubatizi?!au ufungi ndoa?! Shetani ni baba wa uongo na wewe ni mwanae!!
Kanisa ni moja tu Takatifu Katoliki la mitume, kubaka kwa padre au muumini yeyote ni msalaba wake wala si wa waumini wote!!

Kanisa limejengwa juu ya mwamba na milango ya kuzimu haitalitikisa,vita ni vikubwa miaka yote, kanisa halijawahi kujibu wala kulumbana kazi ni moja tu!! kuhubiri habari njema za Mungu kubatiza na kuwapa wanadamu maarifa waweze kumtumikia Mungu na kufurahia kazi ya mungu hapa duniani. Kusaidia wahitaji kama wagonjwa,yatima,wajane,wasio jiweza na wengine wote wanaoitaji msaada wa kiroho na kimwili katika kuvaa,kunywa na kula.Tumsifu Yesu Kristu.
Wewe unaabudu kanisa badala ya Mungu
 
Alikuwa sahihi. Makao Makuu yataakaje uswekeni.
Kweli nimeamini kutenganisha kanisa na serikali ni ngumu duh asikofu anataka kuhamia makao makuu, hahahaaaaaaaaaaaa hawa jamaa bana tangu wagonge ile chanjo ya bure naona sasa misalaba imewaelemea shingoni wanaanza kuwa mazombi sasa
 
Na Bagonza je huko Ngara?
Kilaini mpaka alihamishwa Dar kwenda Bukoba?
Mdegela wa Iringa?
Acha hao walio katika mainstream churches!
Tuingie Mzee wa upako, Kakobe, GeorDavie?
Hao unaseaje?
Kwani Bagonza ni wa Ngara au Karagwe?
 
Inawezekana waumini wengi wapo Rungwe kama unavyosema lakini Tukuyu ipo pembeni sana kiasi kwamba mtu wa kutoka Tunduma au Rujewa Mbarali akitaka huduma ina mgharimu pakubwa tofauti na Mbeya ambapo anweza akaenda na kurudi the same day na cost zikapungua.

Tatizo sisi wanyakyusa ubinafsi unatusumbua sana. Kwani kuna tatizo gani Dayosisi kuhamishwa sehemu nyingine? Mbona Magufuli alihamisha ofisi za serikali Dar kwenda Dodoma?
Ni kweli ipo pembeni,lakini kumbuka kuwa sinodi ilianzia Manow.Ni muhimu historia iheshimiwe na kutunzwa.Cha misingi huduma isogezwe kwa kuigawa dayosisi.Mchakato ufanyike,waumini washirikishwe ipatikane dayosisi nyingine.
 
Inawezekana waumini wengi wapo Rungwe kama unavyosema lakini Tukuyu ipo pembeni sana kiasi kwamba mtu wa kutoka Tunduma au Rujewa Mbarali akitaka huduma ina mgharimu pakubwa tofauti na Mbeya ambapo anweza akaenda na kurudi the same day na cost zikapungua.

Tatizo sisi wanyakyusa ubinafsi unatusumbua sana. Kwani kuna tatizo gani Dayosisi kuhamishwa sehemu nyingine? Mbona Magufuli alihamisha ofisi za serikali Dar kwenda Dodoma?
Ni kweli ipo pembeni,lakini kumbuka kuwa sinodi ilianzia Manow.Ni muhimu historia iheshimiwe na kutunzwa.Cha misingi huduma isogezwe kwa kuigawa dayosisi.Mchakato ufanyike,waumini washirikishwe ipatikane dayosisi nyingine.
 
Katolic inaendeshwa kisiasa! Waumini wake ni kama makondoo!

Utasikia padri kabaka au kulawiti na ushahidi upo lakini miumini ipo tu huku mkuu akiendelea kudhalilisha ukristo!

Mtu kama hujatoa mchango wa jumuiya huwezi kubatiza au kufunga ndoa, hiyo si ni kuuza huduma?
Afu hao jamaa ni mabeberu hasaa ,wanawanyanyasa viongozi wadogo ila kuanzia padre unakula Bata na maisha.

Ila sijui waumini huwa ni kama manyumbu huku viongozi wa juu wanatumbua.
 
Back
Top Bottom