swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
blueivvy nahisi zilikuwa za FRMP,sikumbuki vizuri,thobias kobelo mara ya mwisho nadhani alikuwa na kesi ya kuua kama sikosei na mwingine alifungwa au alikuwa na kesi,watoto walikuwa wanakula unga na bangi vibaya sana. na mchizi wao Mc bob C ndo alikuwa anawaongoza, mdogo wao tu ndo alikuwa ametulia. huyu dr kobello hospitali yake ilikuwa mitaa ya kanyenye karibu na fourways au tanesco..
Hiyo hosp wewe unazungumzia dr Othman,kobelo hosp.yake ilikuwa bachubachu kule.