Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

Simbamwene tulikuwa tunaenda kuangua zambalau na embe boribo juu ya makaburi...vp umekuwa mji?ha ha ha ha ha ha umenikumbusha Mwajuma Ringa?ivi kwanini Mboka Manyema vichaa wengi?...dah Hamis Mambwa aliogopwaje?Diamond near by TMP uwanja wa Chipukizi?ukumbi wa Disco hapo Mwanaisungu geti la kuingia Uhazili...video tunangalizia Maua Bar Opposite na Central Police
Mkuu hapo umetaja nyumbani kabisa humo UHAZILI, yaani ile kota namba 5B inaangaliana na POLICE STATION enzi hizo wakati ana mwagiwa mafuta Headmaster wa Milambo Msemakweli alifuatwa humo ndani(Uhazili) na vijana kwa kuwalisha vyakula vyenye wadudu(funza)

Miaka inakimbia sana, mke wake alikua Principal mle UHAZILI wakati huo wale akina Aref (Waarabu) wakiwa ndio wauzaji wakubwa wa mikate pale Tabora(Mboka Manyema aka Mboka Matata.
 
Back
Top Bottom