Tukumbushane "table manners" mbovu

Tukumbushane "table manners" mbovu

Hii story niyakweli,miaka ya 90's kweusi,Digi alikua na wake wawili so tukawa natabia ya kila mama akipika chakula kinaletwa na tuna Kuna watoto wote kwa pamoja.huku kapika wali marage huyu kapika makande.sinia zinakuja mpaka tushibe.sasa Kuna dogo letu mmoja alikua Hana kipimo mzee tumekula sinia la kwanza,mtu Kama nane,sinia la pili dah kufika la tatu dogo kumbe alishiba kwanini asitapikeee dah alfu wali arageeee....ikawa mwisho
 
Mnakula mtu anamaliza kuku nusu na chips daaah kuna watu wanakula jamani
kuku nusu tu? aah kuna watu ma slei kwini jamani,mimi tu naondoka kuku mzima,yani vikuku hivi vya KFC

nile kipaja nishibe aaah waaapiiii,labda kama unaongelea mikuku Kuchi ya singida (hapo sawa) nakuget get
 
Kuna siku ile ndio tunaweka ugali kwenye sahani mara mgeni anaingia halafu mroho kichizi,ikabidi tule nae ugali ukiwa vilevile wamoto full kuungua ila yeye kama ana feni anakata tonge huku story.
Basi aliniboa kichiz maana huwa sipendi kula chakula chamoto hata huwezi kutafuna vizuri ila ikabidi tu tule kwa sababu yake.
 
Kuna siku ile ndio tunaweka ugali kwenye sahani mara mgeni anaingia halafu mroho kichizi,ikabidi tule nae ugali ukiwa vilevile wamoto full kuungua ila yeye kama ana feni anakata tonge huku story.
Basi aliniboa kichiz maana huwa sipendi kula chakula chamoto hata huwezi kutafuna vizuri ila ikabidi tu tule kwa sababu yake.
noma Sana
 
Mtu badala ya kutoza ugali kwenye mboga yeye anakula kwanza ugali kisha mboga anachukua na vidole.
 
Kwanini mle pamoja kwani mmeshindwa kupakua kila mtu sahani yake? Tabia ya hovyo sana iyo hasa kwa ndugu zetu wavaa kobazi
 
Back
Top Bottom