Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,481
- 5,357
Wakati mnakula kuna mtu anatafna vbaya mpaka unakosa hamu ya kula
Mmekaa nyumbani mnakula chakula cha pamoja mwingine anakula haraka haraka kama yupo kwenye mashindano siwez inakera
Wakati wa kula jamaa mwanzo mwisho anachangia hoja na chakula mdomoni si umalize kula kwanza?
Huku anakula kule yuko bze na simu
Mmekaa nyumbani mnakula chakula cha pamoja mwingine anakula haraka haraka kama yupo kwenye mashindano siwez inakera
Wakati wa kula jamaa mwanzo mwisho anachangia hoja na chakula mdomoni si umalize kula kwanza?
Huku anakula kule yuko bze na simu





nachefukwa kupita maelezo.


