abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,422
- 2,301
_mnakula pamoja mfano ugali, mtu aacha kula upande wake anakuja kumega upande wako
_mnakula pamoja , ghafla mtu anastop anaenda msalani akirudi anaendeleza kupiga menu na mnashea
_mnakula mfano nyama, mtu anachagua chagua ,badae anaona kipande kinachomfaa ndio anakichukua
_mnakula pamoja, mtu anapiga chafya hazibi mdomo, particles zinawarukia
_mnakula wali maharage may be na mchuzi wa nyama, vimechanganywa kwenye sinia, mtu anafinyanga Kama tonge adi michuzi inachuruzika kwenye kiganja , inatia kinyaa
Ongezea nyingezo![]()










