kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,147
- 15,770
- Thread starter
- #21
AloooNimekumbuka kabisa babu yangu, RIP wajina wangu
Chakula kikija yeye ananza bakuli la mchuzi, anakunywa kwanza hadikifike kiwango akitakacho then ndio mnaanza kula.
Wazee wazamani miyeyusho kweli...



yaani kinyaaaa kabisaa




