Tukumbushane: Nyimbo bora zenye majina ya kiume...II

Yeah si wimbo wa siku nyingi sana..Ulitoka mwaka 1999..Uliimbwa na mdada aitwa Mlasi Feruzi akiwa na Jambo Survivors iliyokuwa chini yake Kinguti System...Sijui imefia wapi hii bendi


unanipa raha sana BLNTND,
Ile ilikua bend ya kwenda kuvutia hela DUBAI,deal ilikuja haribika baada ya msururu wa mabendi kuanza kwenda tumbuiza
 
...Kuna wimbo mmoja wa zamani nilikuwa nina-umind sana.Hauko kwenye kundi hili ila nilikuwa naupenda sana. Ulipigwa na bendi iliyokuwa inamilikiwa na National Panasonic..... Una kibwagizo kifuatacho:
.."Laiti moyo ungekuwa..X2..... na kifuniko niko radhi kukuambiaa...Fungua uone unavyokereketa mamaa.....niseme nini ujue nakupenda.. Moyo ukipenda inakuwa vigumu kuuzuia inakuwa karaha... kwa mtu yoyote ajue kitu mapenzi...Hiyo wazi nawaeleza ndugu zangu mnisikie.."

Mwenye nao nitafurahi kuupata.....
 
unanipa raha sana BLNTND,
Ile ilikua bend ya kwenda kuvutia hela DUBAI,deal ilikuja haribika baada ya msururu wa mabendi kuanza kwenda tumbuiza

Okay maana hata walivtotoa huu wimbo walikuwa wametoka nao Dubai kisha wakaenda Studio za ITV kuuekodi ulivoanza kuoneshwa ITV ndo ukawa maarufu...Ni wimbo mzuri sana kuusikiliza...Sio kama zile za waharibifu wa muziki Twanga pepeta na wenzao
 
wadada wengi walidanganyika na sounds za .........Honeymoon Paris......! na ile katuni ya kwenye gazeti sijui gazeti gani Maprosoo!!
 
Duh! Bicco Stars imenikumbusha mbali! Huyu Kinguti Star ana mahusiano na Nyota Kinguti?

Hawa jamaa walikuwa wazuri sana enzi hizo wakiwa na mwanamama mpiga kinanda mahiri hayati Asia Darwesh..Hii ilikuwa inaonekana kama ndiyo bendi ya vijana zaidi kutokana na muziki waliokuwa wakiupiga pamoja na ile bendi ya MK Beats wana Tukunyema Mpaka chini(wowowo0 iliyokuwa ikiongozwa na mzee mShem Ibrahim Kalenga akiwa na vijana wake 'mapacha' Malick Star na Sisco Lunanga(R.I.P).....Unamkumbuka mzee KISTULI wa Tukunyema....dah...I wish I could turn back the years
 
-Kassim-Mlimani Park
-Ford-OSS
-Baba Jane-The Bantu Group
-Tupatupa-Msondo
-Fikiri-Mlimani Park
-Maprosoo-Jambo Survivors
-Amigo-Les Wanyika
-Ngapulila-Vijana Jazz
-Karubandika-Marquiz
-Mayanga-Marquiz
-Makumbele-Marquiz
-Nelson Mandela-Washrika Tanzania Stars

Nilipokukuta kituo cha basi baba Jane na mvua inanyesha baba jeniiiii
looh thanks Balatanda ubarikiwe
 
Najaribu kujiuliza kama hizi tungo na mashairi haya yameifadhiwa kwa ajili ya vizazi vijavyo. Balantanda au Invisible: Kuna haja ndani ya jukwaa hili au jingine kuhifadhi mashairi ya nyimbo za zamani. Kwa upande wa nyimbo za kizungu kuna sites nyingi zenye lyrics za nyimbo hizo nasi tuna haja ya kuhifadhi mashairi na nyimbo zetu kwa faida ya watoto na vijukuu vyetu.
 
Baba Anna toka kwa Dar international...

Watoto wako wanakukumbuka
Kila siku hawaishi kukuuliza
Na mama nae ananung'unika
Kwani miaka mingi imepita
baba amekuwa mtu mzima
Hawezi kuhangaika huku na kule
Kwa hiyo bwana ufanye haraka
Matatizo yametuzidi oooh
Fanya uje
Leo nasema
Fanya uje
Bwana naomba
Fanya uje
Niko peke yangu
fanya uje
Kila kitu ni pesa
Fanya ujee
Chakula ni pesa
Fanya ujee
Malazi ni pesa
Fanya uje
Eeeh bwana
Fanya uje
 
Duh! Huyo Balantanda si Arsenal damu, ila ni Encyclopedia ya Muziki.

Kama vp siku moja tumwagie historia za wakongwe kama Bichuka, Gurumo na wengineo
 
-Kassim-Mlimani Park
-Ford-OSS
-Baba Jane-The Bantu Group
-Tupatupa-Msondo
-Fikiri-Mlimani Park
-Maprosoo-Jambo Survivors
-Amigo-Les Wanyika
-Ngapulila-Vijana Jazz
-Karubandika-Marquiz
-Mayanga-Marquiz
-Makumbele-Marquiz
-Nelson Mandela-Washrika Tanzania Stars

Mkuu Balantanda, naongeza uliposahau:-
1. Kipipa Ayubu- OSS
2. Hapendeki- DDC
3. Kalimanzila- Juwata
4. Amba (Maisha ya Amba)- Vijana Jazz
5. Kasuku-Les Wanyika
6. Kaka Mashaka- Dar International
7. Nelson Mandela- DDC Mlimani Park (Composer Joseph Mulenga)
8. Pakanyanga- OSS Duku Duku
9. Mzee Saidi- Dar International
10.Baba Shani- Bima Lee (composer Jerry Nashon Dudumizi)

Ntakuwa naongeza kadiri nnavyokumbuka
 
Yeah si wimbo wa siku nyingi sana..Ulitoka mwaka 1999..Uliimbwa na mdada aitwa Mlasi Feruzi akiwa na Jambo Survivors iliyokuwa chini yake Kinguti System...Sijui imefia wapi hii bendi

...nakumbuka kama walitoa wimbo huo huo tu kwenye video walafu bendi ikafa ingawaje kipindi fulani walikuwa wakipiga piga kwenye hoteli za kitalii jijini.
 
Duh! Bicco Stars imenikumbusha mbali! Huyu Kinguti Star ana mahusiano na Nyota Kinguti?

Yes, hawa ni ndugu sina uhakika kama ni mtu na dadake au na babake lakini ni ndugu na wote wanatokea Kigoma.
 
Baba Anna toka kwa Dar international...

Watoto wako wanakukumbuka
Kila siku hawaishi kukuuliza
Na mama nae ananung'unika
Kwani miaka mingi imepita
baba amekuwa mtu mzima
Hawezi kuhangaika huku na kule
Kwa hiyo bwana ufanye haraka
Matatizo yametuzidi oooh
Fanya uje
Leo nasema
Fanya uje
Bwana naomba
Fanya uje
Niko peke yangu
fanya uje
Kila kitu ni pesa
Fanya ujee
Chakula ni pesa
Fanya ujee
Malazi ni pesa
Fanya uje
Eeeh bwana
Fanya uje

Umeupatia vizuri sana mkuu! naomba tu nijazie jinsi ulivyokuwa unaanza:

Baba Ana ee, ni lini utarudia nyumbani ii,
Uje uwaone watoto wako ee,
Uje uwaone baba na mama ee kwetu x 2

(Marijani)

Najua kazi nyingi zinakuzonga,
Huko uliko nako ni mbali sana baba Ana ee,
hata hivyo ufanye kila njia aa,
Kwani kuna matatizo matatizo matatizo kwetu ee.

Baba Ana ee, ni lini utarudia nyumbani ii,
Uje uwaone watoto wakop ee,
uje uwaone baba na mama aa kwetu2
 


-Kassim-Mlimani Park
-Ford-OSS
-Baba Jane-The Bantu Group
-Tupatupa-Msondo
-Fikiri-Mlimani Park
-Maprosoo-Jambo Survivors
-Amigo-Les Wanyika
-Ngapulila-Vijana Jazz
-Karubandika-Marquiz
-Mayanga-Marquiz
-Makumbele-Marquiz
-Nelson Mandela-Washrika Tanzania Stars

https://www.jamiiforums.com/sports-...majina-ya-kiume-ii-post754917.html#post754917

1-Kassim-Mlimani Park
2-Ford-OSS
3-Baba Jane-The Bantu Group
4-Tu4patupa-Msondo
5-Fiki5ri-Mlimani Park
6-Mapr6osoo-Jambo Survivors
7-Amigo7-Les Wanyika
8-Ngapuli8la-Vijana Jazz
9-Karuban9dika-Marquiz
10-Mayanga-Marquiz
11-Makumbele-Marquiz
12-Nelson Mandela-Washrika Tanzania Stars
Quote:


-Kassim-Mlimani Park
-Ford-OSS
-Baba Jane-The Bantu Group
-Tupatupa-Msondo
-Fikiri-Mlimani Park
-Maprosoo-Jambo Survivors
-Amigo-Les Wanyika
-Ngapulila-Vijana Jazz
-Karubandika-Marquiz
-Mayanga-Marquiz
-Makumbele-Marquiz
-Nelson Mandela-Washrika Tanzania Stars



Mkuu Balantanda, naongeza uliposahau:-
13. Kipipa Ayubu- OSS
14. Hapendeki- DDC
15. Kalimanzila- Juwata
16. Amba (Maisha ya Amba)- Vijana Jazz
17. Kasuku-Les Wanyika
18. Kaka Mashaka- Dar International
19. Nelson Mandela- DDC Mlimani Park (Composer Joseph Mulenga)
20. Pakanyanga- OSS Duku Duku
21. Mzee Saidi- Dar International
22.Baba Shani- Bima Lee (composer Jerry Nashon Dudumizi)

Ntakuwa naongeza kadiri nnavyokumbuka

Nimekumbuka nyingine

23. Kaka Kinyogoli- OSS Ndekule
24. Haruna Kaka- OSS Masantula (Kikumbi Mwanza Mpango aka King Kiki)
25.
 
Alimasi - Skassy kasambula, Dr Remmy wakiwa )rchestre Matimila

Hivi Skassy Kasambula aliishia wapi huyu..Nakumbuka mara ya mwisho kumuona alikuwa na Bendi ya Ngorongoro akiwa pamoja na Shabani Yohana 'Wanted'
 
duh.. inaonekana muziki wa dansi ulitukolea kweli; mmenikumbusha mbali sana na kina Masudi (my best friend enzi hizo pale Mwamboni aliitwa Masudi!).. halafu kuna hiyo ya Kassim..
 
Back
Top Bottom