ndendi
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 625
- 180
Yah naikumbuka sauti ya jaguar,ulikuwa mziki mzuri sana,ila ulikuwa unaambatana na maovu mengi.nawakubali sana Jagwa music wanapiga mnanda kinoma km vibao vyao Kondakta,jela,saidi misape....yan balaa
Yah naikumbuka sauti ya jaguar,ulikuwa mziki mzuri sana,ila ulikuwa unaambatana na maovu mengi.nawakubali sana Jagwa music wanapiga mnanda kinoma km vibao vyao Kondakta,jela,saidi misape....yan balaa
Duh! umenirudisha 1995 enzi za Dar Nyota Theatre kundi la CCM.. na nyimbo kama Ally Mwinyi,Shemeji umeulamba Mkopo wa Sukari, Kurumbizi nk. Wakawepo Hisani na nyimbo kama Uko wapi Mama, kuna kipande wanasema"nipe nipe bwana Chidile..." Kuna Atomiki "Meli Ya sumu", Jagwa na ngoma kama Asha,Eleven Stars watoto wa chalinze makazi Tandale na Album lao Narudi Chalinze. Huu muziki una ujumbe sana. Naamini katika mwanamuziki mmoja au bendi za Tanzania nilizopata kuona wakifanya live shows...hawa jamaa wa Jagwa hawana mpinzani. hebu tazama hii... http://m.youtube.com/watch?v=wf7hWQ4FWDc
Wewe ndo umeuuwa wote wliobakia hata kolokoloni hajui mchiriku hao hisani walikuwa noma kuna rafki yangu mmoja alikuw anaimba hilo kundi walimuua way bck, nakumbuka nymbo yao mola na ali mwny...pia kuna nght star ya kkoo.Duh! umenirudisha 1995 enzi za Dar Nyota Theatre kundi la CCM.. na nyimbo kama Ally Mwinyi,Shemeji umeulamba Mkopo wa Sukari, Kurumbizi nk. Wakawepo Hisani na nyimbo kama Uko wapi Mama, kuna kipande wanasema"nipe nipe bwana Chidile..." Kuna Atomiki "Meli Ya sumu", Jagwa na ngoma kama Asha,Eleven Stars watoto wa chalinze makazi Tandale na Album lao Narudi Chalinze. Huu muziki una ujumbe sana. Naamini katika mwanamuziki mmoja au bendi za Tanzania nilizopata kuona wakifanya live shows...hawa jamaa wa Jagwa hawana mpinzani. hebu tazama hii... http://m.youtube.com/watch?v=wf7hWQ4FWDc
Duh! umenirudisha 1995 enzi za Dar Nyota Theatre kundi la CCM.. na nyimbo kama Ally Mwinyi,Shemeji umeulamba Mkopo wa Sukari, Kurumbizi nk. Wakawepo Hisani na nyimbo kama Uko wapi Mama, kuna kipande wanasema"nipe nipe bwana Chidile..." Kuna Atomiki "Meli Ya sumu", Jagwa na ngoma kama Asha,Eleven Stars watoto wa chalinze makazi Tandale na Album lao Narudi Chalinze. Huu muziki una ujumbe sana. Naamini katika mwanamuziki mmoja au bendi za Tanzania nilizopata kuona wakifanya live shows...hawa jamaa wa Jagwa hawana mpinzani. hebu tazama hii... http://m.youtube.com/watch?v=wf7hWQ4FWDc
Dah,long time kitambo Mkuu,enzi hizo Maskani Kuu ya Mchiriku ilikuwa Mwembe Yanga Famagusta kwenda mpaka kwa Mpogo. Vibao vya enzi zile kama vile Kinyago Msela,Saidi Kipaka/Masikani Famagusta nk vilikuwa balaa,hapo ni moshi wa msuba kama vile mpo Jamaica. Kwa upande wa sasa Vijana wanajitahidi sana kuuendeleza huu Mziki but cha kusikitisha haupewi kipaumbele kwenye Media karibu zote kama inavyopewa taarabu na wakati huu Mziki una mafundisho makubwa sana kwa hali ya sasa na vile vile ni rahisi sana kuwafikia wahusika wakuu ambao ni Vijana. Embu sikiliza wimbo kama Usije Mjini Kaka,una mafundisho makubwa sana kwa wale Vijana wakijijini wenye mawazo kuwa Mjini ndio kila kitu,jamaa anawaambia kuwa huku Mjini ajira kubwa ni kuokota makopo na scrapers.
Na upande wa pili wakusikitisha kwenye huu mziki ni kuondokewa na waimbaji/watunzi wake mahiri kama vile Omary Omary,Juma Mpogo,General Lupozi n.k R.I.P.
Zamani pale Msasani zilipo ofisi za Zantel na New Msasani Club kulikuwa kunapigwa mnanda kila weekend...
Palikuwa na eneo la wazi basi wale Wamakonde wa kwa Mussa Hassan (Msasani), Wazaramo na wenyeji wengine wa maeneo ya karibu walikuwa wanajazana hapo...
Kuna jamaa zetu fulani wanaitwa Chikokoti na Said Makacholi ulikuwa huwakosi hapo kwenye disco vumbi hilo...
Nakumbuka hizi nyimbo kama Nipeleke nipeleke, Mama nataka uji au Mama nipe Panadol naumwa gono mimi...
haha ya hivyo mimi sikupata ishuhudiaYallah mbavu zangu yaani nalia kwa kicheko maana umenikumbusha enzi yake wakiitwa kuja piga sehemu wanapanga foleni halafu wanajidai kuingilia mlango wa uwani wanatokea mlango wa mbele wakifika sebuleni (sitting room) wanajidai macho juu macho juu mwenyeji naye anaangalia juu mzunguko ukiisha sebuleni hakuna kitu ni kweupe vimekombwa vyote vya kabatini hadi vitambaa ktk viti kinachoachwa ni kisichobebeka kiurahisi, mwizi hajulikani. mkuu hongera kuleta mada hii ila nyimbo sikumbuki hata moja.