tameer
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 773
- 1,448
Dah umenikumbusha night star na kibao chaoWewe ndo umeuuwa wote wliobakia hata kolokoloni hajui mchiriku hao hisani walikuwa noma kuna rafki yangu mmoja alikuw anaimba hilo kundi walimuua way bck, nakumbuka nymbo yao mola na ali mwny...pia kuna nght star ya kkoo.
🎼. Jumamosi night,jumapili night,alhamis night ijumaa night
Twendeni leoo tuukacheze night
Wako wapi leo tukawaone night 🎼