mkuu hawawezi kukuelewa hata kidogo.
Sijui ni nan katuloga watanzania mpaka kuwa wapumbavu kiasi hiki.
Wanadanganywa eti anauchukia umaskin ndio anauchukia kwa familia yake lakn sio kwa watz.
Mkuu ndivyo siasa zilivyo kumbuka hata wana wa Israel walikataa Mungu asiwe mfalme wao walitaka wawe na mfalme mwanadamu kama mataifa mengine yaliyokuwepo kipindi hicho na cha ajabu zaid Mungu hakuwakatalia! aliwapa wakitakacho i.e. mfalme mwanadamu kama wao!
Kumbuka hata JK amedanganya sana; maisha bora kwa kila mtz, kigoma kuwa kama dubai, kujenga reli mpya, mgao wa umeme utakuwa historia......
Ndivyo siasa zilivyo cha muhimu yule anatakwa na wengi apewe nafasi pasipo kumwaga damu au kuleta machafuko ya aina yoyote!!