Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,789
Amazing capture View attachment VID-20181017-WA0082.mp4
Weka na ile ya HD+ iliyopiga picha namba za gari na kila upande wa gari kwa ujumlaAmazing capture View attachment 904652
Hali yangu shwariii!! Nafanya diet hapa maana sio kwa mwili huu!Mekuham
Ila sijui wa Tanzanian ni ushamba mwingi au ni exposure zero au uvivu mpaka wa kujielimisha au ukasuku fulani akisema basi ni 100% right
Bila kujali chochote kuhusu hili saga la Mo
Lakini kiukweli maeneo mengine ukishangaa kwamba HD cctv haipo unaweza onekana chizi
Me hapa home nina cctv camera HD with maximum of 100 frames per second which means imepita megapixels za smartphone nyingi mpaka baadhi ya Samsung galaxy
Punguzeni ulimbukeni jamani wa Tanzanian wenzangu ni bora tunatumia kiswahili dunia haisomi huu utumbo
Hiyo ya kwako nayo umeifunga usawa wa kifuani, au imefungwa juu kama ilivyo kawaida karibu na dari?Ila sijui wa Tanzanian ni ushamba mwingi au ni exposure zero au uvivu mpaka wa kujielimisha au ukasuku fulani akisema basi ni 100% right. Bila kujali chochote kuhusu hili saga la Mo. Lakini kiukweli maeneo mengine ukishangaa kwamba HD cctv haipo unaweza onekana chizi. Me hapa home nina cctv camera HD with maximum of 100 frames per second which means imepita megapixels za smartphone nyingi mpaka baadhi ya Samsung galaxy. Punguzeni ulimbukeni jamani wa Tanzanian wenzangu ni bora tunatumia kiswahili dunia haisomi huu utumbo
Kuna cctv zinafungwa specialise kwa kusoma plate numbers tu mfano cctv za stand mpya za hapa nchini sio hivyo tu hata BOT wamefunga cctv za usawa huo na institutions nyingi ikiwemo UN ArushaHiyo ya kwako nayo umeifunga usawa wa kifuani, au imefungwa juu kama ilivyo kawaida karibu na dari?