Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
eh,na wewe bado unakooma na hilo li tbccmTBC mbuzi kabisaaaa! yaani hata main news za leo wao hawaoni umuhimu wa kutaja jambo hili la kihuni linalofanywa na serikali.
TBC Uchafu kabisa!!
eh,na wewe bado unakooma na hilo li tbccmTBC mbuzi kabisaaaa! yaani hata main news za leo wao hawaoni umuhimu wa kutaja jambo hili la kihuni linalofanywa na serikali.
TBC Uchafu kabisa!!
TBC hamna kitu kabisa
hata hivyo hutujaambiwa kama mkutano uliendelea au uliahirishwa
mkuu tbc ni wadau wa ubakaji wa demokrasia,tusitegemee jipya hapo.tbc mbuzi kabisaaaa! Yaani hata main news za leo wao hawaoni umuhimu wa kutaja jambo hili la kihuni linalofanywa na serikali.
Tbc uchafu kabisa!!
Si wote shilogile bali baadhi balogilwe(wamelogwa)kwa kupumbazwa na watawala ndo wanajipendekeza hata pasipostahili.Hii nchi ni kweli shilogile (imelogwa) kwani polisi wamegeuzwa kuwa chombo cha kupiga porojo za kisiasa. Uko wapi weredi wa jeshi la polisi?
Hivi kweli TBC si ni ya Taifa au genge la wahuni?
TBC mbuzi kabisaaaa! yaani hata main news za leo wao hawaoni umuhimu wa kutaja jambo hili la kihuni linalofanywa na serikali.
TBC Uchafu kabisa!!