- Thread starter
- #61
Pia ITV wamesema hatimaye polisi walizidiwa nguvu pamoja na kutumia risasi lkn watu walirudi barabarani,vile vile RPC alionekana kuwa mstari wa mbele katika vurugu hizo.
My take:nguvu ya dora haijawahi kushinda nguvu ya uma kote duniani.viva forever
Good point noted....