Nyanidume
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,364
- 1,023
kijana wa bavicha unamatatizo huyo dogo alikwenda kuu na yeye yakampata.akome kufuata mkumbo
Huna akili akili kabisa wewe!
kijana wa bavicha unamatatizo huyo dogo alikwenda kuu na yeye yakampata.akome kufuata mkumbo
kijana wa bavicha unamatatizo huyo dogo alikwenda kuu na yeye yakampata.akome kufuata mkumbo
Daily News walivyoi spin habari!
http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/25903-former-mwanza-ccm-chairman-killed
Mkuu Mungu akukemee!? yule dogo haukuwa na kosa lolote kwanza huna uhakika wa kwanini alikuwa pale yawezekana hujui nayeye alikuwa na shamba.Na kufahamisha tu kwamba katika nchi yetu kuna Child Headed Family nyingi sana na nia ajabu kutoa comment kama hii.Nimekosa neno sahihi la kusema ila namuomba Mungu usipotubu hii kauli yako akukemee,roho ya kukataliwa ikuandame na giza liwe rafiki yako kila utakapokuwa.
Umesema vizuri kaka kwamba "Mungu akukemee"! usimlaani mtu wala kumtakia mabaya mbaya wako. Imeandikwa watakieni mema adui zenu na kuwaombea. unaweza ona huyo kijana na Mabina wamekufa vibaya kumbe wametubu na Bwana amewasamehe na kuwapokea. Mwisho jamani enyi wenye nguvu kwa nini hamjifunzi toka wenzenu? Aanalia akina Sadam Hussein, Gadafi, Iddi Amini walikuwa na nguvu hapa nani mwenye nguvu kama walizokuwa nazo? Mungu daima ni mwema huwainua wanyonge. Marehemu wote pumzikeni kwa Amani.
RIP Innocent boy .
kijana wa bavicha unamatatizo huyo dogo alikwenda kuu na yeye yakampata.akome kufuata mkumbo
Jionee
Mkuu Mungu akukemee!? yule dogo haukuwa na kosa lolote kwanza huna uhakika wa kwanini alikuwa pale yawezekana hujui nayeye alikuwa na shamba.Na kufahamisha tu kwamba katika nchi yetu kuna Child Headed Family nyingi sana na nia ajabu kutoa comment kama hii.Nimekosa neno sahihi la kusema ila namuomba Mungu usipotubu hii kauli yako akukemee,roho ya kukataliwa ikuandame na giza liwe rafiki yako kila utakapokuwa.