Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Kifo ni jambo la kuhuzunisha na binadamu wanapaswa kufarijiana kitokeapo.
Lakini vipi pale unapohuzunika na kifo cha jirani yako lakini wanae wana andamana kushangilia kwa vifijo na furaha kifo cha baba yao?
Na kama baba yao ni rafiki yako unajifunza nini hasa kwa vile kuna usemi usemao "ukitaka kumfahamu MTU angalia rafiki zake"?
Raisi Magufuli kaonyesha kuhudhunishwa na kifo cha rafiki yake Rais Nkurunziza na akatoa twita ya majonzi yake.
Lakini RAIA wa Burundi wenyewe wanaandamana kufurahia kifo chake kwa nini?
Angalia jinsi wanavyo onyesha furaha yao!
Lakini vipi pale unapohuzunika na kifo cha jirani yako lakini wanae wana andamana kushangilia kwa vifijo na furaha kifo cha baba yao?
Na kama baba yao ni rafiki yako unajifunza nini hasa kwa vile kuna usemi usemao "ukitaka kumfahamu MTU angalia rafiki zake"?
Raisi Magufuli kaonyesha kuhudhunishwa na kifo cha rafiki yake Rais Nkurunziza na akatoa twita ya majonzi yake.
Lakini RAIA wa Burundi wenyewe wanaandamana kufurahia kifo chake kwa nini?
Angalia jinsi wanavyo onyesha furaha yao!