Wale wazee wa ntwara walikosea kulegeza, wangeshikilia pale pale tungeanza sie kabla ya BurundiTetesi tuu za kigogo2014 baada ya kutoka Lindi zilileta taharuki kubwa sana. Kwa maumivu nakumbuka Siku ya kutoka hadharani kuna mtu alisindikizwa na wimbo wa Gozbeth wa "hauwezi kushindana na mwamadamu mwenye kinywa"
Nilidhani baada ya pale somo litakuwa limeeleweka lakini kumbe ilikuwa kama kuchochea moyo mgumu wa farao