Tukio gani muhimu katika historia ya Tanganyika lilitokea siku kama ya leo, Aprili 17, 1953?

Sihangaishi nafsi yangu mkuu.
There are glaring incosistencies katika hadithi zako.
Vijana wa sasa wanaweza kuchukua hadithi zako kuwa historical facts, kumbe ni opinions zako tu.
Jidu...
Sishangai kuona historia ya babu yangu kuwa aliunda African Association 1929 na baba yangu akaasisi TANU 1954 kutoka TAA kwako ni hadithi.

Sishangai kuwa hushangazwi iweje historia hii haiukuandikwa?

Ila mie nashangaa kwa nini wewe hili halikushughulishi.

Prof. Haroub Othman akitaabika na ukweli kuwa Abdul Sykes aliunda.

Mimi nikishangaa kwa nini Prof. hashangai kuwa baba yake Abdul, Mzee Kleist aliasisi African Association.

Nikijiuliza mbona Prof. hashangazwi na Nyerere kuunda TANU tena peke yake na yuko ugenini?

Usijitaabishe.

Hii ni historia ya wazee wangu na mimi nimeiandika kadri nilivyoifahamu.

Unadhani kuna mtu anaweza kuwajua wazee wangu kuliko mimi?
 
Jidu...
Sishangai kuona historia ya babu yangu kuwa aliunda African Association 1929 na baba yangu akaasisi TANU 1954 kutoka TAA kwako ni hadithi.

Sishangai kuwa hushangazwi iweje historia hii haiukuandikwa?

Ila mie nashangaa kwa nini wewe hili halikushughulishi.

Prof. Haroub Othman akitaabika na ukweli kuwa Abdul Sykes aliunda.

Mimi nikishangaa kwa nini Prof. hashangai kuwa baba yake Abdul, Mzee Kleist aliasisi African Association.

Nikijiuliza mbona Prof. hashangazwi na Nyerere kuunda TANU tena peke yake na yuko ugenini?

Usijitaabishe.

Hii ni historia ya wazee wangu na mimi nimeiandika kadri nilivyoifahamu.

Unadhani kuna mtu anaweza kuwajua wazee wangu kuliko mimi?
Kwahiyo kwa kukiri kwako Mwalimu Nyerere, mwana wa Chifu Burito , wa kuja, aliwazidi akili na kuchukua legacy ya kuunda TANU.
Mlikosea nini?
 
Kwahiyo kwa kukiri kwako Mwalimu Nyerere, mwana wa Chifu Burito , wa kuja, aliwazidi akili na kuchukua legacy ya kuunda TANU.
Mlikosea nini?
Jidu...
Nyerere hakuunda TANU.

Mimi huwa sijadili lolote la kukejeli na kudogosha kwa hiyo hilo la kuzidi akili na mfano wa lugha hizo hubaki kimya.

Ninachojua ni kuwa hakuna popote katika historia ya maisha yake ilipoelezwa kuwa Nyerere alipata kuwa na fikra ya TANU.

Lakini sikuzuii kuamini hivyo.
Ila nitakueleza kitu kimoja.

Mikutano yote ya siri kuhusu TANU kati ya 1950 hadi 1954 ilikuwa ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley.

Ilipoundwa TANU 1954 Nyerere alikwenda kufanya tasjila kama Rais wa TANU na Abdul, Ally na yeye Nyerere walikubaliana kuwa akitoka kwa Msajili wakutane nyumbani kwa Ally Mtaa wa Kipata.

Msajili alikataa kutoa tasjila kwa madai kuwa Nyerere hana register book ya wanachama wa TANU.

Nyerere alikwenda nyumbani kwa Ally Sykes kama walivyokubaliana.

Abdul Sykes alipoelezwa sababu za kukataliwa tasjila, alimwagiza Mzee Said Chamwenyewe aende Rufiji kuandikisha wanachama wa TANU.

Mzee Chamwenyewe alirudi na orodha kubwa tu ya wanachama.

Kadi elfu moja za kwanza za TANU alichapa Ally Sykes Printpak kwa gharama zake.

Kadi no. 1 akamuandikia Julius Nyerere no. 2 akajiandikia mwenyewe na kadi no. 3 akamwandikia kaka yake Abdul.

Kadi no. 4 Dossa Aziz no. 5 Dennis Phombeah no. 6 Dome Okochi Budohi.

Kisa ni kirefu.

Yote haya huyapati katika historia ya Nyerere.

Ukisoma hukuti vipi aliunda TANU wala huelezwi fedha za kufanya hilo alitoa wapi.

Mimi nimeyajua haya kwa kuwa hawa ni wazee wangu na wao ndiyo waliounda TANU kutoka TAA waliyoasisi 1929 kama AA.

Haya yote yametokea Nyerere hajafika Dar es Salaam.

Nasema haya si kwa kutaka kumdogosha Nyerere.

Nasema haya kusahihisha historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
 
Jidu...
Nyerere hakuunda TANU.

Mimi huwa sijadili lolote la kukejeli na kudogosha kwa hiyo hilo la kuzidi akili na mfano wa lugha hizo hubaki kimya.

Ninachojua ni kuwa hakuna popote katika historia ya maisha yake ilipoelezwa kuwa Nyerere alipata kuwa na fikra ya TANU.

Lakini sikuzuii kuamini hivyo.
Ila nitakueleza kitu kimoja.

Mikutano yote ya siri kuhusu TANU kati ya 1950 hadi 1954 ilikuwa ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley.

Ilipoundwa TANU 1954 Nyerere alikwenda kufanya tasjila kama Rais wa TANU na Abdul, Ally na yeye Nyerere walikubaliana kuwa akitoka kwa Msajili wakutane nyumbani kwa Ally Mtaa wa Kipata.

Msajili alikataa kutoa tasjila kwa madai kuwa Nyerere hana register book ya wanachama wa TANU.

Nyerere alikwenda nyumbani kwa Ally Sykes kama walivyokubaliana.

Abdul Sykes alipoelezwa sababu za kukataliwa tasjila, alimwagiza Mzee Said Chamwenyewe aende Rufiji kuandikisha wanachama wa TANU.

Mzee Chamwenyewe alirudi na orodha kubwa tu ya wanachama.

Kadi elfu moja za kwanza za TANU alichapa Ally Sykes Printpak kwa gharama zake.

Kadi no. 1 akamuandikia Julius Nyerere no. 2 akajiandikia mwenyewe na kadi no. 3 akamwandikia kaka yake Abdul.

Kadi no. 4 Dossa Aziz no. 5 Dennis Phombeah no. 6 Dome Okochi Budohi.

Kisa ni kirefu.

Yote haya huyapati katika historia ya Nyerere.

Ukisoma hukuti vipi aliunda TANU wala huelezwi fedha za kufanya hilo alitoa wapi.

Mimi nimeyajua haya kwa kuwa hawa ni wazee wangu na wao ndiyo waliounda TANU kutoka TAA waliyoasisi 1929 kama AA.

Haya yote yametokea Nyerere hajafika Dar es Salaam.

Nasema haya si kwa kutaka kumdogosha Nyerere.

Nasema haya kusahihisha historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Unayoyaongea ni ya hiari yako maana umesemwenyewe kuwa Nyerere hakuandika hiyo historia na hao wengine wmekuhadithia yaliyotokea.
Muwamba ngoma huvutia kwake maisha yote.
Sioni sababu ya kuyaamini unayosema ukilinganisha na historia iliyoandikwa miaka mingi.
 
Unayoyaongea ni ya hiari yako maana umesemwenyewe kuwa Nyerere hakuandika hiyo historia na hao wengine wmekuhadithia yaliyotokea.
Muwamba ngoma huvutia kwake maisha yote.
Sioni sababu ya kuyaamini unayosema ukilinganisha na historia iliyoandikwa miaka mingi.
Jidu...
Hakika mwamba ngoma huvutia kwake.

Waliokuja kuingia TANU baadae hawakuwa na habari wala hawakutaka kusikia habari za wazee wangu walioasisi African Association na TANU.

Matokeo yake ndiyo haya leo na hauko peke yako mko wengi kila mnaloelezwa katika historia ya TANU kwenu ni mageni na mnapinga.

Mnapinga kwa kuwa hamjui.

Mmeaminishwa kuwa TANU iliundwa na Nyerere na unaeleza hayo huku shingo umetoa na kuwatia ujinga wazee wangu walioasisi TANU kuwa ''wamezidiwa akili.''

Mimi simlazimishi mtu kuniamini.
Ila nitakueleza kitu kimoja.

Kitabu cha Abdul Sykes kimechapwa mara nne toka kilipotoka kwa mara ya kwanza mwaka wa 1998.

Historia ya TANU kilichoandikwa na Chuo Cha CCM Kivukoni mwaka wa 1981 kimetoka mara moja tu.

Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam walimu wanakiogopa hata kukifanyia rejea.

CCM hawezi kukichapa tena kwa kuwa wanaogopa fedheha.

Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

1618839359548.png


1618839459759.png
 
Jidu...
Hakika mwamba ngoma huvutia kwake.

Waliokuja kuingia TANU baadae hawakuwa na habari wala hawakutaka kusikia habari za wazee wangu walioasisi African Association na TANU.

Matokeo yake ndiyo haya leo na hauko peke yako mko wengi kila mnaloelezwa katika historia ya TANU kwenu ni mageni na mnapinga.

Mnapinga kwa kuwa hamjui.

Mmeaminishwa kuwa TANU iliundwa na Nyerere na unaeleza hayo huku shingo umetoa na kuwatia ujinga wazee wangu walioasisi TANU kuwa ''wamezidiwa akili.''

Mimi simlazimishi mtu kuniamini.
Ila nitakueleza kitu kimoja.

Kitabu cha Abdul Sykes kimechapa mara nne toka kilipotoka kwa mara ya kwanza mwaka wa 1998.
Historia ya TANU kilichoandikwa na Chuo Cha CCM Kivukoni mwaka wa 1981 kimetoka mara moja tu.

Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam walimu wanakiogopa hata kukifanyia rejea.

CCM hawezi kukichapa tena kwa kuwa wanaogopa fedheha.
Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
 
Jidu...
Hakika mwamba ngoma huvutia kwake.

Waliokuja kuingia TANU baadae hawakuwa na habari wala hawakutaka kusikia habari za wazee wangu walioasisi African Association na TANU.

Matokeo yake ndiyo haya leo na hauko peke yako mko wengi kila mnaloelezwa katika historia ya TANU kwenu ni mageni na mnapinga.

Mnapinga kwa kuwa hamjui.

Mmeaminishwa kuwa TANU iliundwa na Nyerere na unaeleza hayo huku shingo umetoa na kuwatia ujinga wazee wangu walioasisi TANU kuwa ''wamezidiwa akili.''

Mimi simlazimishi mtu kuniamini.
Ila nitakueleza kitu kimoja.

Kitabu cha Abdul Sykes kimechapa mara nne toka kilipotoka kwa mara ya kwanza mwaka wa 1998.
Historia ya TANU kilichoandikwa na Chuo Cha CCM Kivukoni mwaka wa 1981 kimetoka mara moja tu.

Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam walimu wanakiogopa hata kukifanyia rejea.

CCM hawezi kukichapa tena kwa kuwa wanaogopa fedheha.
Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

View attachment 1756647

View attachment 1756649

MSA,
Mimi au sisi tuna react kwa maandishi yaliyopo na ambayo hayajakanushwa.
Sasa historia iliyokuwepo na tunayoiamini unaikanusa wewe kwa hadithi za Wazee wako"
Ndio maana nilisema huko nyuma kuwa kuna incosistencies katika maandik yako.
Uliandika
-Nyrere hakuwemo katika TAA, na hata alipopata uongozi "Wazee wako" wayoyoma kumnyima kura
-Nyerere hakuwemo katika kuanzisha TANU maana wazee wako wale wale ndio walianzisha na kumpa Nyerere kadi namba moja

Na ndio hapa nachelea kuamini ulichoandika maana hakina maana sana.
Hao waliomkataa TAA 1953, ndio wakajigroup, kuunda TANU, halafu sasa wakampa uongozi Nyerere!!!!

WeWe kwei fundi wa kuwamba ngoma!
 
MSA,
Mimi au sisi tuna react kwa maandishi yaliyopo na ambayo hayajakanushwa.
Sasa historia iliyokuwepo na tunayoiamini unaikanusa wewe kwa hadithi za Wazee wako"
Ndio maana nilisema huko nyuma kuwa kuna incosistencies katika maandik yako.
Uliandika
-Nyrere hakuwemo katika TAA, na hata alipopata uongozi "Wazee wako" wayoyoma kumnyima kura
-Nyerere hakuwemo katika kuanzisha TANU maana wazee wako wale wale ndio walianzisha na kumpa Nyerere kadi namba moja

Na ndio hapa nachelea kuamini ulichoandika maana hakina maana sana.
Hao waliomkataa TAA 1953, ndio wakajigroup, kuunda TANU, halafu sasa wakampa uongozi Nyerere!!!!

WeWe kwei fundi wa kuwamba ngoma!
Jidu...
Hujui kuwa ubishi huo unaouleta wewe leo ni kama vile unanakili yaliyosemwa zaidi ya miaka 20 iliyopita.

Umechelewa sana.
Wewe umekijua kitabu hiki leo.

Tulifanya mjadala hapa uliodumu miezi 6 haijapata kutokea.

Wewe unaurudisha mjadala leo.

Abdul na Ally Sykes baada ya miaka 50 toka Tanganyika kupata uhuru walitunukiwa na serikali ya Tanzania, Medali ya Mwenge wa Uhuru kwa mchango wao katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mimi nimesoma Nyaraka za Sykes zote zinazokwenda nyuma miaka 100 na ndiye mtafiti pekee niliyepata bahati hii.

Mjadala huo hapo chini ulikuwa hapa mwaka wa 2013 na ulisomwa na watu kufikia 800000 mimi nimesimama nao nikisaidiwa na watu wachache.

Wengi walielimika.

Na mshangao ulikuwa mkubwa na kitabu cha Abdul Sykes kikapata umaarufu mkubwa kupita kiasi.

 
Jidu...
Hujui kuwa ubishi huo unaouleta wewe leo ni kama vile unanakili yaliyosemwa zaidi ya miaka 20 iliyopita.

Umechelewa sana.
Wewe umekijua kitabu hiki leo.

Tulifanya mjadala hapa uliodumu miezi 6 haijapata kutokea.

Wewe unaurudisha mjadala leo.
Abdul na Ally Sykes baada ya miaka 50 toka Tanganyika kupata uhuru walitunukiwa na serikali ya Tanzania, Medali ya Mwenge wa Uhuru kwa mchango wao katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Katika mjadala huo sikuwepo ndio maana nabisha kutokana na presentation yako.
Ina bidi habari ijitosheleze maana hata baada ya miaka 100, yasiposemwa wazi wazi yale ambayo hayasemwi, watu wataendelea kubisha.
WeWe MSA upo kutetea kile ulichohadithiwa na wazee wako, siku haupo je nani atatetea.
Maana ukisoma presentation yako , maswali ya kujiuiza bado yapo.
Naje baada ya Abdul na Ally sykes kutunukiwa Medali ya mwenge wa Uhuru na Serikali, was it an admissiob of fault?
Na je hili limekuwa documented.
Na siamini kuwa Abdu na Aly Sykes ndio watu pekee waliostahili medali hiyo.
 
Katika mjadala huo sikuwepo ndio maana nabisha kutokana na presentation yako.
Ina bidi habari ijitosheleze maana hata baada ya miaka 100, yasiposemwa wazi wazi yale ambayo hayasemwi, watu wataendelea kubisha.
WeWe MSA upo kutetea kile ulichohadithiwa na wazee wako, siku haupo je nani atatetea.
Maana ukisoma presentation yako , maswali ya kujiuiza bado yapo.
Naje baada ya Abdul na Ally sykes kutunukiwa Medali ya mwenge wa Uhuru na Serikali, was it an admissiob of fault?
Na je hili limekuwa documented.
Na siamini kuwa Abdu na Aly Sykes ndio watu pekee waliostahili medali hiyo.
Jidu...
Hakika hukuwepo na wengi hawakuwapo na kila siku wanakuja na tunaanza mjadala upya nami huwa siwagutui kwa sababu napenda kusomesha.

Mimi sikuhadithiwa tu mimi nimeishi ndani ya historia hii na nimetafiti na kusoma nyaraka nyingi za wakati ule.

Maktaba yangu imesifiwa na waandishi wa kitabu cha Julius Nyerere.

Usiseme najipigia tarumbeta hawa waaandishi wa kitabu cha Mwalimu wakiongozwa na Prof. Shivji wametaja Maktaba yangu kuwa ni kati ya maktaba tatu bora walizopitia wakati wa utafiti wa kitabu cha Nyerere nazo ni za Dr. Salim Ahmed Salim Brig. Hashim Mbita ni hii yangu.

Zaidi wameaniambia kuwa katika watu wanaomjua Nyerere mimi nimetia fora.

Kwa nini nisitie fora ilhali wazee wangu ndiyo waliompokea na kuwa na yeye hadi uhuru umepatikana?

Mimi najua hadi ''brand,'' ya sigara aliyokuwa anavuta Nyerere.

1618843653387.png


Huyu ni Dome Okochi Budohi Mluya kutoka Kenya kiongozi katika TAA na mwanachama wa TANU kadi yake No. 6 huyo kushoto ni mimi hapo ni nyumbani kwake Ruiru, Nairobi mwaka wa 1972.

Huu ndiyo upeo wangu wa kuijua TANU na viongozi wake ndipo ninposema wazee wangu naomba unielewe.

Dome alikuwa mmoja katika watu ambao mimi walinijua katika utoto wangu.

1618844098882.png


Huyu ni Dennis Phmbeah Mnyasa kadi yake ya TANU No. 5.

Katika uchaguzi wa 1953 Dennis Phombeah alihangaika sana kumfanyia kampeni Nyerere ashinde kwa kuwa hakuwa katika Inner Circle hakuwa anajua kuwa mipango imeshakamilika na Nyerere atashinda uchaguzi ule.

Kaka usifanye maskhara mimi naijua historia ya TANU.

1618844407463.png


Kulia ni Ilyassar Abdulwahid Sykes, Aisha ''Daisy'' Sykes, Mohamed Said (nimeshika Medali ya Mwenge wa Uhuru aliyotunukiwa Abdul Sykes), Misky Abdulwahid Sykes na Kleist Abdulwahid Sykes 2017.

Hakika wako wengi walistahili kupewa medali kama Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Suleiman Takadir, Hamza Mwapachu, Bi. Tatu bint Mzee, Steven Mhando, Zuberi Mtemvu kwa kuwataja wachache.

1618844649905.png


Muthaiga Club, Nairobi na Ally Sykes 1989 hapa Nairobi kuna historia ya pekee katika harakati za kuunganisha TAA na KAU iliyopekea Abdul Sykes kukutana na Kenyatta Nairobi mwaka wa 1950 Kenyatta akiwa na Peter Mbiu Koinange, Kungu Karumba, Paul Ngei, Bildad Kaggia timu nzima ya Kapenguria Six.

Unataka nikuwekee hapa ripoti ya kikachero ya Special Branch kuhusu mkutano huu?

Kaka narudia tena mimi naijua historia ya wazee wangu kuna kitu wazee wangu walikiona kwangu.

Wazee wangu walikuwa watu hodari mashujaa na walipambana na ukoloni kwa dhati ya nafsi zao na wakatoa na mali zao ili Tanganyika iwe huru.

Hawakunificha jambo wamenieleza mengi mengine si ya kuandikwa sasa wakati wake bado.
 
Kwa matara ya kwanza nakupa like.
Ingawaje na mimi ni wa kuja na nipo Dar toka 1963, Chang'ombe, na mazishi ya Abeid Amani Kaluta nilikuwepo pale Wailesi, 1964 .
Kwa vile nilikuwa mdogo, kumbukumbu yangu inaniambia Obote na Kenyatta walikwepo siku hiyo.
 
Back
Top Bottom