Tukiendelea hivi Majeshi yetu yataendelea kushuka ubora

Tukiendelea hivi Majeshi yetu yataendelea kushuka ubora

Nilikuwa nasoma Mkwawa, akafika Afisa wa shushushu pale kuwakaribisha wanafunzi wajiunge na TISS. Yaani wanafunzi wote wameitwa kwenye Hall ili huyu mtu awakaribishe kujiunga na TISS.
Akawa anasema,"Watu wengine wanatuita "shushu-shushu", lakini msiogope. Sisi tuna kazi kama watu wengine tu.
Siku hizi ajira sijui inafanyika vipi.
Au nilipoingia JWTZ. Ikatolewa Public Notice: Vijana wote wanaotaka kujiunga na Jeshi,wafike uwanja wa Karume kesho asubuhi. Basi,vibaka wote wa Daressalaam walifika pale.
Yule Kamanda,alikuwa Sajenti,nadhani,akasema:"Sasa,hebu tusikilizane. Nataka mkimbie hapa uwanjani mara nne,duara nne,wale ishirini wa kwanza,watajiunga na Jeshi. Hivyo nilivyoingia Jeshini.
Nina walakini sana na uwezo wako wa kuelewa mambo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mwanajeshi wa Congo
FB_IMG_16541982918185610.jpg
 
Yani kuna baba mdogo wangu baada ya kuchapika na life baada ya chuo alimaliza 2OO8 nafikiri kufikia 2O1O akaotea shavu huko akaenda kozi. Sikuhizi anabadilisha NISSAN XTRAIL tu kila toleo jipya analo yani[emoji23][emoji23][emoji23] jeshini ni raha sana. 2O18 kaoa zake kwa raha mustarehe kafanyiwa sherehe kijeshi.
Jinga moja hili lenye akili za kushikiwa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nazungumzia haya majeshi yetu hasa JWTZ, Polisi, Uhamiaji, Magereza na mengineyo

Miaka ya nyuma watu walijiunga na Jeshi kwa moyo mmoja wa uzalendo wa kuitumikia nchi yao hali imekuwa tofauti kwa miaka ya hivi karibuni mtu anamaliza bachelor ama amefeli anasota kitaa anaona solution ni kwenda Jeshi, yaani Jeshi sasa hivi ni ajira wala hamna uzalendo ndo maana mtu anaweza kwenda kozi ila kipindi cha kozi chote anaumwa na siku ya kuapa anaapa.

Mbaya zaidi maafisa wako bize kuingiza vijana wao na ndugu zao mfano zamani TISS walikuwa wanachukua watu baada ya uchunguzi wa kina, ila sasa hivi wanaenda kwa connection tutegemee makubwa zaidi
ukiwa hauna connection hata kama una moyo wa kuwa mjeda sahau labda utaingia kama mtu wa ziada kujazia nafasi iliyo wazi

Na hata juzi vijana waloenda Msata na Oljoro lilitoka bogi la Mabeyo(kama hujui tulia hivo hivo)

Zamani Jeshini ukiwa una tatoo, huna uvungu, unafanya mapenzi kinyume na maumbile huwezi kujiunga na Jeshi lakini sasa hivi hadi gays wanaenda kupiga kozi.

Jeshini sasa hivi imekuwa sehemu ya kustarehe yaani hata hawawazi chochote, maafisa wao ni starehe kwa kwenda mbele na umalaya.

Vijana legelege nao wamo siku hizi
Kwa taarifa yenu tuendelee kukwepa migogoro na nchi nyingine kwa maana kwa jinsi majeshi yetu yalivo relax ni rahisi kuingia na kuchunguza kila kitu kwa uzuri

Msishangae Jeshi kuendelea kushuka chini kwenye ranks
Nipo hapa bonyokwa nacheza draft
kama kuna rushwa ktk kuwapitisha vijana ktk sekta nyeti kama hizo nashauri ikome mana tunaharibu.Mim ni mhanga ktk hilo ila nilipenda sana toka moyoni c kwa dhiki ya kazi lakini nikakosa.
 
Enzi tuliyoandikishwa sisi, tulielezwa sababu, ilikuwa ina mantiki au haina kutegemeana na muono wa ntu na ntu!
Tulielezwa kwa kutolea mfano wa ng'ombe maksai aliyehasiwa.
Tukaulizwa kama angalizo: " ulishamuona maksai zizini ama popote akipigana na dume jenzie au 'kuhiga'(ule mlio wanatoaga madume wa kujidhihirisha kuwa yeye ndiye boss na hakuna tena mwingine kama yeye)?

Tukathibitisha kuwa ni kweli hatujawahi kuona.

Afisa yule akaendelea kueleza kuwa jamii hiyo ya watu ni lege lege kama wanawake, si wahimilivu wa mikiki mikiki na ni wagumu wa kukasirika, ambapo
Hasira ni "mtaji" jeshini maana hauwezi pigana bila kukasirika.

Sababu ya pili ni kuwa "uanaume"hutumika kama silaha ya kumdhoofisha adui.

Kwa maana kwamba mnaposhinda vita na kuteka maeneo ya adui, yapasa kuwadhalilisha kwa kuwabakia mama zao, wake zao, dada zao huku wakishuhudia na kuwapachika mimba zisizotarajiwa ili kujidhihirishia ushindi na kuwadhoofisha, je hanithi anaweza?

Maelezo ya kinadharia yalikuwa ni mengi, lakini kitabibu hatukuelewa impact ya kisayansi, maana kweli aliyepatikana "si ridhiki" aliandikiwa remarks ya "unfit" na kurejeshwa kwao hima.

Upimaji wa hiyo "stage" sasa, ni majanga!

Sababu za kipumbavu sana. Kwa hii thinking no wonder majeshi yanarudi nyuma kila siku.

Unabaka ili kudhihirisha umeshinda? Hii akili au uzwazwa?

Mnapimwaje huko?
 
Ila tuseme ukweli kama unafuatilia vizur vita ya Ukraine na Russia jinsi inavyopiganwa utagundua Jeshi letu ni kama hamna kitu.

Uchumi wa TZ na Russia ni sawa?

Uchumi wa mrusi wa kawaida na mtz wa kawaida unaendana? Teknolojia je?

Since avata yako ni Ozil I reckon you know a thing or two about soccer, nani bora kati ya Messi na Neuer?

Huoni wewe ndo hamna kitu kwa kufananisha vitu visivyoendana?
 
Back
Top Bottom