Tukianza utaratibu wa kulipa wafanya kazi kwa masaa inawezekana?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,273
Utaratibu wa kulipana kwa masaa mfano kwenye mgahawa wangu, wasaidizi ninawalipa sh 500 kwa saa. Wanatakiwa kufanya kazi kwa masaa kumi. Saa moja la mapumziko halipwi lakini chakula ni bure. Asipokuja kazini halipwi na kila shift anayofanya kazi ana lisaa limoja la mapumziko ya kulipia. Inamaana baada ya siku 30 za kazi atakuwa na likizo yenye thamani ya sh 15,000.

Wafanya kazi wengi wanafanya kazi kwa mazoea, asubuhi anakupigia simu kuwa jirani yake amefariki atakuwa msibani. Anajua mwisho wa mwezi mshahara wake upi kamili.

Hii itakuwa njia ya kuacha kutega kazi. Tumezoea malezi ya kijamaa kuwa faida inagawanywa kwa wote, waliofanya kazi na wavivu.
 
Wengine wataacha kazi na kurudi tena. Mfano mtu anayepata 600,000 kwa mwezi, ni sawa na 20,000 kwa siku ambapo akifanya kazi masaa nane;
20,000/8 = 2500 kwa saa.

Atahisi mwajiri anamwibia kabisa. Ataamua kwenda mtaani, akifika huko mishe za huko hazihitaji elimu ya ya darasani kama gross total, open book wala cash nini sijui!

Ataamua kurudi kazini huku akiwa ameichukia kazi yake, yaani anaifanya kwa sababu hakuna namna.
 
Utaratibu wa kulipana kwa masaa mfano kwenye mgahawa wangu, wasaidizi ninawalipa sh 500 kwa saa. Wanatakiwa kufanya kazi kwa masaa kumi. Saa moja la mapumziko halipwi lakini chakula ni bure. Asipokuja kazini halipwi na kila shift anayofanya kazi ana lisaa limoja la mapumziko ya kulipia. Inamaana baada ya siku 30 za kazi atakuwa na likizo yenye thamani ya sh 15,000.

Wafanya kazi wengi wanafanya kazi kwa mazoea, asubuhi anakupigia simu kuwa jirani yake amefarki atakuwa msiba ni. Anajua mwisho wa mwezi mshahara wake upi kamili.

Hii itakuwa njia ya kuacha kutega kazi. Tumezoea malezi ya kijamaa kuwa faida inagawanywa kwa wote, waliofanya kazi na wavivu.
Huo sio utaratibu,ni Utumwa
 
Nchi zilizoendelea huu utaratibu ni wa kawaida. Sio tu unasaidia watu kuchapa kazi, lakini pia unampa fursa mfanyakazi kutumia muda wake vizuri. Mathalan kuna baadhi ya maofisi ambapo mfanyakazi anatakiwa kuwepo kazini kila siku hata kama hana kazi ya kufanya, au kazi yake anamaliza ndani ya masaa mawili tu. Ungekuepo huu utaratibu, mtu angekua na kazi 2 au 3 ambazo anafanya kulingana na muda wake unavyoruhusu hivyo kujitengenezea kipato cha ziada. Hua naangalia mfano madereva hapa ofisini.. dereva anaweza kukata mwezi mzima hana safari lakini kila siku anatakiwa kuja na kushinda ofisini akisoma magazeti na kupiga stori.


Utaratibu wa kulipana kwa masaa mfano kwenye mgahawa wangu, wasaidizi ninawalipa sh 500 kwa saa. Wanatakiwa kufanya kazi kwa masaa kumi. Saa moja la mapumziko halipwi lakini chakula ni bure. Asipokuja kazini halipwi na kila shift anayofanya kazi ana lisaa limoja la mapumziko ya kulipia. Inamaana baada ya siku 30 za kazi atakuwa na likizo yenye thamani ya sh 15,000.

Wafanya kazi wengi wanafanya kazi kwa mazoea, asubuhi anakupigia simu kuwa jirani yake amefarki atakuwa msiba ni. Anajua mwisho wa mwezi mshahara wake upi kamili.

Hii itakuwa njia ya kuacha kutega kazi. Tumezoea malezi ya kijamaa kuwa faida inagawanywa kwa wote, waliofanya kazi na wavivu.
 
Watanzania kweli wanafanya kazi kimazowea aiseee kuna mdogo wake wife wangu nishampa last warning wife kama mdogo wake nitamfukuza yaani anakuja time anayoitaka yeye anaweza kusema anakuja hatokei kazini siku hio. Na mshahara na marupurupu anapata kwasababu anadeka kwa dada yake.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Nchi zilizoendelea huu utaratibu ni wa kawaida. Sio tu unasaidia watu kuchapa kazi, lakini pia unampa fursa mfanyakazi kutumia muda wake vizuri. Mathalan kuna baadhi ya maofisi ambapo mfanyakazi anatakiwa kuwepo kazini kila siku hata kama hana kazi ya kufanya, au kazi yake anamaliza ndani ya masaa mawili tu. Ungekuepo huu utaratibu, mtu angekua na kazi 2 au 3 ambazo anafanya kulingana na muda wake unavyoruhusu hivyo kujitengenezea kipato cha ziada. Hua naangalia mfano madereva hapa ofisini.. dereva anaweza kukata mwezi mzima hana safari lakini kila siku anatakiwa kuja na kushinda ofisini akisoma magazeti na kupiga stori.
Bado tu ni utumwa. Na hili jambo la.kulipwa kwa masaa, kwanza ni pa kibeberu, na pili, ni la kibeberu. Mabeberu wanadai mengi tu ili kujinufaisha maradufu...Asili yetu imefanya vipi? Kuna gani tulilopungukiwa?
Wacheni mambo ya kukopi. Tafuteni mbadala mwingine. Maarifa tunayo!
 
Mfumo wa kulipwa kwa masaa ni mzuri sana, kwanini?
1. Unapata muda wa ziada wa kufanya kazi zako nyingine
2. Masaa ya ziada hulipwa kama overtime ila hii ni kulingana na mkataba na mwajiri wako

Ila hasara zipo pia
 
Naunga mkono hoja ila ianzie bungeni kwanza kwa majaribio.

Hili kundi hili ni la kuliangalia kwa jicho la ukaribu sana. Unakuta mtu haishi Jimboni, anaonekana wakati wa kampeni tu! Bado kuna wale wabunge wa viti maalum na wale wa kuteuliwa! Kuna wale wa kutokea nchi jirani ya Zanzibar!

Posho lukuki, mshahara mnono! Halafu kigezo chao kikuu cha kuwepo huko Bungeni, ni kujua tu kusoma na kuandika! Yaani ukiwakuta wengi wao wanataka wamefutuka kiasi cha kutaka kupasuka! Hawa viumbe walitakiwa kulipwa nusu au robo tu ya wanachokipata sasa.
 
Ughaibuni sehemu nyingi huo ndio utaratibu. Kuna faida kwa pande zote mbili na inaweza kumpa mfanyakazi option ya kupiga kazi sehemu hata tatu kwa siku. Ubaya wake ni kwamba mtu anaweza kukupa taarifa ya kutokuja kazini ghafla na kukuharibia plans
 
Utaratibu wa kulipana kwa masaa mfano kwenye mgahawa wangu, wasaidizi ninawalipa sh 500 kwa saa. Wanatakiwa kufanya kazi kwa masaa kumi. Saa moja la mapumziko halipwi lakini chakula ni bure. Asipokuja kazini halipwi na kila shift anayofanya kazi ana lisaa limoja la mapumziko ya kulipia. Inamaana baada ya siku 30 za kazi atakuwa na likizo yenye thamani ya sh 15,000.

Wafanya kazi wengi wanafanya kazi kwa mazoea, asubuhi anakupigia simu kuwa jirani yake amefariki atakuwa msibani. Anajua mwisho wa mwezi mshahara wake upi kamili.

Hii itakuwa njia ya kuacha kutega kazi. Tumezoea malezi ya kijamaa kuwa faida inagawanywa kwa wote, waliofanya kazi na wavivu.

brilliant idea, bcoz the mix up on how this country has been transforming socio-economically is really absurd, eti sisi wajamaa, mara hoo tulipe kodi yaani reckless inatosha, we have had blurred perception haijulikani tuko wapi
 
Ughaibuni sehemu nyingi huo ndio utaratibu. Kuna faida kwa pande zote mbili na inaweza kumpa mfanyakazi option ya kupiga kazi sehemu hata tatu kwa siku. Ubaya wake ni kwamba mtu anaweza kukupa taarifa ya kutokuja kazini ghafla na kukuharibia plans
Una wawe kwa sheria kuwa kama notice not chini ya masaa 24 haikubaliki inabidi jende kazini
 
Back
Top Bottom