Tukiachana na wachaga, Kuna kabila lingine lina utamaduni wa kurudi na kujumuika kwenye vijiji vya mizizi yao nje ya misiba?

Wewe unafikiri uchawi ni kutupiana tu mabusha na kupaa kwa ungo. Pole sana. Unaweza kuniambia ni kwanini mnazika ndugu zenu sana baada ya disemba na pasaka? Unasema kusikia mganga wa kichaga lazima ustuke..ebu niambie yule mzee wa pale rau madukani ukishayapita maduka kule kwenye kona mbele anafanya nini, pale rombo maarufu kcmc kuna nini, kule vunjo kitongoji anapokaa mzee manjuu wa majengo kuna nini. Usitake tuweke wazi mambo yenu.
Lete takwimu hapa,halafu kuna sehemu ambayo watu hawafi?
 
Mimi sio mchaga nishaainisha natokea kanda ya ziwa,

Anyway naona hii maada unaanza kuipeleka kwengine kabisa inapoteza dira, hayo mambo ya uchawi naona unayapenda sana kuyazungumzia naona yatajaza uzi, Turudi kwenye maada kuu


Tukiachana na wachaga, Kuna kabila lingine lina utamaduni wa kurudi na kujumuika kwenye vijiji vya mizizi yao nje ya misiba?
Achana nae huyo amejawa na chuki ya juu sana
 
Utamduni huu upo kwa Wachaga na Wahaya tu. Wahaya wamekuwa na utamaduni huo tangu enzi na enzi. Mpaka kurudi wamekuandika kwenye vitabu vinavyotumia lugha yao. Tofauti Wahaya hawafanyi matambiko ya kichawi kama wafanyavyo wachaga. Wale walioko nje ya nchi wanakutana kwenye mizizi yao kwa muda wanaokuwa wamepanga siyo iwe kwenye kipindi kimoja cha sikukuu.

Nasema matambiko ya KICHAWI kwasababu Kilimanjaro (wilaya za wachaga) ukitoa Wapare kwa mujibu wa taarifa za NBS ndiyo inaongoza kwa kuwa na watu wenye ulemavu. Ulemavu huu si wa kuzaliwa bali ni ule wa kichwawi wa mali ambao kila disemba lazima watimize masharti ya kumwaga damu.
Kule ndio watu wasiojua uchawi wanapatikana Tanzania hii. Huko watu wasipoweza kufanya maendeleo vijijini ndiko uchawi imejaa.
 
Amekaa kwenu miaka 14 hivyo anawajua.

Wewe tungekuona unampinga kwa kubisha hoja alizoleta na hayo maeneo kusema hayapo hivyo kwa ushahidi.
Unaweza kukaa dar miaka yote na usiwaelewe wazaramo, hajasema chochote cha ku prove point yake. Hajui lolote.
 
Amekaa kwenu miaka 14 hivyo anawajua.

Wewe tungekuona unampinga kwa kubisha hoja alizoleta na hayo maeneo kusema hayapo hivyo kwa ushahidi.
Hajui lolote huyo ni mtu kajaa chuki na wivu wa kike, kwanza anaonekana akili hana, unakaa 14 years bado unasema Kahe ni uchagani? Unachanganya wachaga na wapare!! Stupid. Alafu kakaa moshi kijiji gani ili tujue. Kama ni mjini, ata akae miaka 100 hatoelewa lolote. Na muulize ni vitu gani tunafanya December aviseme, mjinga tu huyo, watu wa hivyo ndio kwao wanafanya makafara ya kishetani wakidhani wachaga nao wanafanya. We don't entertain satanic rituals.
 
Kuna wachagga tupo nao miji mingine nje ya Moshi Januari hadi Desemba.
Ni utamaduni unaonishangaza sana, kila ikifika december wiki 2 za mwisho Wachaga wa nje ya mikoa na nje ya nchi hukusanyika pamoja kwenye sehemu za asili zao huko Kilimanjaro.

Kwa miaka kadhaa nishazoea kuona status za wachaga watatu wanaoishi nje ya nchi wanapost status wamerudi, Yupo anaeishi China jiji la Guangzou, Marekani jiji la San Fransisco na mwengine Australia jiji la Sydney.

Kurudi kwa pamoja hukutanisha kila mwaka ndugu, majirani mpaka marafiki wa utotoni, kwa wale watoto waliozaliwa huku mijini ama nje ya nchi nao wanapelekwa kuijua mizizi yao, nadhani hata kama ulikopa duka la mangi mwaka jana basi hii December utadakwa tu.

Tukija huku makabila mengine ni nadra sana, achilia mbali kabila yani hata ndugu kurudi kwa pamoja kwenye mizizi yao ni suala zito, Labda itokee kuna msiba wa babu huko kijijini watazika na kutawanyika.

Binafsi upande wa baba ni mtu wa kanda ya ziwa, Yeye alikulia kijijini huwa anarudi kila mwaka lakini mimi nilienda mara 2 tu nikiwa darasa la sita na la saba shughuli ikaishia hapo !! kwakweli ni kipindi kirefu sana kimepita, connection za kijijini zimepotea kabisa hata watoto wakiulizia kijijini kwao nawaambia ni mtaa wa mjini niliozaliwa, naowahesabia ni ndugu ni wale tunaokutana mjini ila kule kwenye mizizi nishapoteza connection.

Nipo mikoa ya Iringa ya Mbeya kuna makabila kadhaa mambo ni hayo hayo tu, tukianza na Wanyakyusa wa Mbeya waliozaliwa nje ya sehemu za mizizi yao (Tukuyu ama Kyela) hawajazoeshwa kurudi kwenye mizizi yao hata undugu ni ule wa kujuana ndugu wa mjini. Ikitokea wamerudi huko kwao labda kuwe na mazishi, hali inakuwa mbaya zaidi kwa watoto wa hawa wanyakyusa waliozaliwa mijini wanaweza hata wasipajue Tukuyu.

Wengine nao ni wakinga wa huko Njombe wapo sana hio Iringa na Mbeya, watoto wanaishia kupajua mjini tu na ndugu wa mjini, Nina rafiki aliwahi kurudi kwenye msiba wa bibi yake tu tangu hapo hapajui Makete,
 
Utamduni huu upo kwa Wachaga na Wahaya tu. Wahaya wamekuwa na utamaduni huo tangu enzi na enzi. Mpaka kurudi wamekuandika kwenye vitabu vinavyotumia lugha yao. Tofauti Wahaya hawafanyi matambiko ya kichawi kama wafanyavyo wachaga. Wale walioko nje ya nchi wanakutana kwenye mizizi yao kwa muda wanaokuwa wamepanga siyo iwe kwenye kipindi kimoja cha sikukuu.

Nasema matambiko ya KICHAWI kwasababu Kilimanjaro (wilaya za wachaga) ukitoa Wapare kwa mujibu wa taarifa za NBS ndiyo inaongoza kwa kuwa na watu wenye ulemavu. Ulemavu huu si wa kuzaliwa bali ni ule wa kichwawi wa mali ambao kila disemba lazima watimize masharti ya kumwaga damu.
Unajua kanyaruju wewe

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Utamduni huu upo kwa Wachaga na Wahaya tu. Wahaya wamekuwa na utamaduni huo tangu enzi na enzi. Mpaka kurudi wamekuandika kwenye vitabu vinavyotumia lugha yao. Tofauti Wahaya hawafanyi matambiko ya kichawi kama wafanyavyo wachaga. Wale walioko nje ya nchi wanakutana kwenye mizizi yao kwa muda wanaokuwa wamepanga siyo iwe kwenye kipindi kimoja cha sikukuu.

Nasema matambiko ya KICHAWI kwasababu Kilimanjaro (wilaya za wachaga) ukitoa Wapare kwa mujibu wa taarifa za NBS ndiyo inaongoza kwa kuwa na watu wenye ulemavu. Ulemavu huu si wa kuzaliwa bali ni ule wa kichwawi wa mali ambao kila disemba lazima watimize masharti ya kumwaga damu.
Pumbaaa na povu kama lote na chuki binafsi zimekujaa juu ya wachaga, hayo matambiko ya kichawi uliyaona? Au ndoto zako za mchana, tafuta hela acha porojo.
 
Uongo, kwanza wahaya hawaendi kwao kama wachaga, tupo nao mjini January to December. Pili, wachaga ndio kabila least kwenye ushirikina, dini ya ukristo imefuta mila sana , japo kwa nadra mtu mmoja mmoja anaweza kuwa na mambo hayo, ila in general ndio kabila linaongoza kwa hofu ya Mungu, angalia idadi ya wachungaji na mapadri, we huwajui. Ignorance inakusumbua, alafu pia punguza husda. Itakusaidia.
jamaa ana donge kuliko kutoa facts za wachaga walivyo
 
Kurudi au kutokurudi hakuhusiani na kujenga kwenye maeneo yao. Sasa unaongelea nyumba za udongo kuwepo kwa wahaya, hizo nyumba za tope ziko kila sehemu ya nchi hii.

Niambie nyumba za hivi kwenye picha zilizojaa hapo vunjo ni na huko ndani ndani ni nini
Kama sio ujuha n nn, Kahe sio kwa wachaga hata kidogo, wapo Wakahe wenyewe, Wakamba na Wataita kutokea chocho la kitobo na wahamiaji wengine kuchunga na kulima mpunga
 
Mbona sisi Wameru na Waarusha huu utaratibu wa kurudi December nyumbani na kuchinja upo tangu enzi na enzi?

Nilizaliwa na kukuta hivyo
Wameru ni kama vile tu kusema wamachame, wamarangu,, wakibosho etc. Mkoloni hakuwaweka kwenye kundi moja tu ila pia waarusha ni mixer ya watu wa north so wako na zile particles na mazingira yanachangia pia....
 
Umetembea kidogo duniani huko utafahamu kwamba desemba ni holiday miji mingi ya kibiashara idadi ya watu hupungua sana wengi hurudi makwao kwaajili ya siku kuu lakini siyo tu siku kuu lakini ni maalum pia kwa hayo uliyotaja hiyo ndiyo huwa nafasi ya kuyatimiza

Kama huwa hamna huo utaratibu basi nyie bado sana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Utamaduni mzuri sana....naupenda.
Sisi kwetu huwa kinaitishwa kikao cha ukoo mara moja kwa mwaka huwa hawazidi hata 20 wanaofika
 
Sisi Wachagga ni kabila la tofauti. Kwenye katiba mpya tutaomba Kilimanjaro na Arusha (Wachagga, Wamasai, Wameru na Wapare/Wagweno) tuwe nchi yetu wenyewe.

Naona kama wengine mnatuchelewesha.
Tanzanite inakaribia kwisha arifu.

Tunahitaji kutumia pia za wengine kama walivyotumia Tanzanite yetu.

Tunahitaji pia bandari ambayo hatuna.

Hii moja ya Dar maza keshaiuza.
 
Mimi sio mchaga nishaainisha natokea kanda ya ziwa,

Anyway naona hii maada unaanza kuipeleka kwengine kabisa inapoteza dira, hayo mambo ya uchawi naona unayapenda sana kuyazungumzia naona yatajaza uzi, Turudi kwenye maada kuu


Tukiachana na wachaga, Kuna kabila lingine lina utamaduni wa kurudi na kujumuika kwenye vijiji vya mizizi yao nje ya misiba?
Wameru,Waarusha,na Wagweno huwezi kuwatofautisha na wachaga hata lugha zao zinaingiliana.
 
Back
Top Bottom