Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,742
- 17,991
Tujuzane mbinu wanazotumia matapeli kuwatapeli/ Kuwaibia wafanyabiashara za miamala ya kifedha kama M-PESA, TigoPesa, Halopesa, Airtel Money nk.
Naanza:
Tapeli anakuja jioni anatoa Kaisi kikubwa Cha hela anaondoka, lengo ni ili awe na uhakika wa cashes ulizonazo. Kisha baada ya dakika chache wenzake wanakuja wanakuvamia wanachukua hela zote.
Naomba anayejua mbinu nyingine aweke hapa ili tunaofanya biashara hizo Tuwe na taadhari juu ya matapeli
Naanza:
Tapeli anakuja jioni anatoa Kaisi kikubwa Cha hela anaondoka, lengo ni ili awe na uhakika wa cashes ulizonazo. Kisha baada ya dakika chache wenzake wanakuja wanakuvamia wanachukua hela zote.
Naomba anayejua mbinu nyingine aweke hapa ili tunaofanya biashara hizo Tuwe na taadhari juu ya matapeli