Tujulishane tabia za wachaga

kwanza kabisa hwadanganyiki,sio maharage ya mbea kwaiyo asidhanie ataenda kuwapata kirahisi.
pili MUNGU ndio nafasi ya kwanza kwao,hekima, adabu heshima na bidii ya kazi ndio kanuni zao kila uchao.
 
Naona sasa wachaga TUNU YA TAIFA maana its obvious tupo mioyoni mwenu na inaonyesha mnatukubali sana ndo maana kila siku lazima muuabudu uchaga kwa kutusema tu hata kwa mambo yasiyokuwa na mashiko. Come on guys! There are many issues to do, why discussing us every time? Actually you made us more valuable brand!!!:der:
 
Ungeanza kuwajulisha watu tabia zako kama Msengerema kabla ya kuuliza makabila ya wengine!
 
kibo kya ndesi, makimaro,maswai,matarimu,nka masawe, mankya kwi mukai mwaghanye ndesa vandu wandi wakasa wakewatawanya?
 
tuwaseme at mimi jingine lichagga limenizingua juzi tu, babe kama nini uzani binti farao mnakera acheni ubabe ati mtabaki kuoana wenyewe mwishowe mtaonana ndugu! tulia....
 
wachagaaa wachagaaa wachagaaa wachagaaa heeee!!! kila siku wachaga. wee andaa mipesa ful stop!
 

not only valuable but also beautiful!!!! and appart from that people should stop stereotype.
 
valuable, beautiful, intelligent, educated, wachakalikaji, the richest tribe ever seen etc!

Umesahau kuongezea!

Wauza vioski vya mbao mjini na mafundi viatu walioko kila kona.
 
Kumbe Wachaga Wanapendwa Sana Eehh,Kila Siku Mnawajadili,can't find something else to talk about.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…