Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
tusubiri tuone kama watakaofikishwa mahakamani ni dagaa au kambale.. au kama Papa na wenyewe watakuwemo!
..damn these mofos it was a forgotten pain lakini again boooom...we have the case here but we dont have names,what a crap!
ccm,
Mene,mene,tekel na pares
Prophetic massage
.....SERIKALI imeanza kuchunguza sehemu ya fedha za baadhi ya Watanzania ambazo zipo nje kuona kama zimepatikana kwa njia ya rushwa......Miongoni mwa nchi ambazo ufuatiliaji huo unafanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) chini ya Mikataba ya Kimataifa ni zile ambazo zipo katika mwambao wa Bahari ya Hindi na nyingine za Asia....