Tujikumbushe mambo Enzi za Mwalimu

Tujikumbushe mambo Enzi za Mwalimu

Superman

R I P
Joined
Mar 31, 2007
Posts
5,693
Reaction score
1,707
Je; kwa mtazamo tu, dressing code ya Wanasiasa Yetu inatoa tafsiri yoyote katika life style zao na walivyonavyo au haina uhusiano waowote?

Mwalimu je?

dresscode.jpg


Du! Hata dalili ya kitambi hakuwa nayo mpaka anatoweka! Je kuna aliyepata kuona mwanasiasa wa TZ katika style inayofanana na hii bila kujali wakati?
 
Haya ni matokeo ya AZIMIO LA ZANZIBAR. Nyerere alikuwa ana serve AZIMIO LA ARUSHA ni hapo tofauti ilipo.
 
Kitambi ni dalili ya maradhi pamoja na yale yanayotokana ama na ulaji mbovu ama uvivu. Ukimwona mwenye kitambi muhurumie, mgonjwa huyo.
 
tunaenda na wakati!

Du! Hata dalili ya kitambi hakuwa nayo mpaka anatoweka! Je kuna aliyepata kuona mwanasiasa wa TZ katika style inayofanana na hii bila kujali wakati?


Mkuu umeona swali langu penye tezt ya bluu?.
 
Kitambi ni dalili ya maradhi pamoja na yale yanayotokana ama na ulaji mbovu ama uvivu. Ukimwona mwenye kitambi muhurumie, mgonjwa huyo.


Mkuu, iweje basi wanasiasa wetu wengi wa sasa wanavyo?
 
Du! Hata dalili ya kitambi hakuwa nayo mpaka anatoweka! Je kuna aliyepata kuona mwanasiasa wa TZ katika style inayofanana na hii bila kujali wakati?


Mkuu umeona swali langu penye tezt ya bluu?.
Naona una utani na mkapa!
 
Hii ni kielelezo halisi cha yote ambayo huyu jamaa amekuwa aki'preach maisha yake yote!
Mkuu inaonyesha picha hii umeihifadhi nyumbani mahala salama sana!
Viongozi wetu wa sasa vitambi ka nyumba, hakuna maadili, hakuna utaratibu wa ulaji chakula!..

nyama za mbuzi pale Dom-lete
bia za kila aina---lete
Dry drinks------lete
mataptap/chimpumu---lete (hasa wakati wa kuomba kura)
viswange--lete
kongoro---lete

Huh!....will these guys survive
 
Jamani PJ mambo gani hayo kutaja makongoro saa hizi? Yaani kati ya nyama tamu dunia hii ni makongoro, yakifuatiwa kwa karibu sana na ulimi wa ng'ombe wa kuchemsha, halafu mkia.

OK, now back to the issue at hand.......
 
Du! Hata dalili ya kitambi hakuwa nayo mpaka anatoweka! Je kuna aliyepata kuona mwanasiasa wa TZ katika style inayofanana na hii bila kujali wakati?

Mh Zitto Kabwe?The only differences ni urais na ofcourse hatuwezi kuigonere time coz back the there was no Hummer2.

Kuhusu dressing code na life stlye zao hapo we can argue....Sometimes its true and sometimes not, tuliyaona ya both Kaunda and Nyerere, same style but guess what, mmoja was a fisadi.
 
Hii ni kielelezo halisi cha yote ambayo huyu jamaa amekuwa aki'preach maisha yake yote!
Mkuu inaonyesha picha hii umeihifadhi nyumbani mahala salama sana!
Viongozi wetu wa sasa vitambi ka nyumba, hakuna maadili, hakuna utaratibu wa ulaji chakula!..

nyama za mbuzi pale Dom-lete
bia za kila aina---lete
Dry drinks------lete
mataptap/chimpumu---lete (hasa wakati wa kuomba kura)
viswange--lete
kongoro---lete

Huh!....will these guys survive


PJ picha hii ni nimeitoa hapa: http://mawio-shineshine.blogspot.com/2009_12_01_archive.html

Inaelekea hapa ndiyo alitoa ile hotuba yenye kipande hiki . . .

...."Kiongozi anayetufaa Tanzania , ni yule anayejua kuwa nchi yetu ni masikini na watu wake ni masikini. Na ukimwangalia usoni ...uone anaguswa na umasikini wetu. Vinginevyo hatufai...." J.K.Nyerere.

Halafu ikaambatanishwa na picha hii:

two_liter_shoes.jpg



 
Hii ni kielelezo halisi cha yote ambayo huyu jamaa amekuwa aki'preach maisha yake yote!
Mkuu inaonyesha picha hii umeihifadhi nyumbani mahala salama sana!
Viongozi wetu wa sasa vitambi ka nyumba, hakuna maadili, hakuna utaratibu wa ulaji chakula!..

nyama za mbuzi pale Dom-lete
bia za kila aina---lete
Dry drinks------lete
mataptap/chimpumu---lete (hasa wakati wa kuomba kura)
viswange--lete
kongoro---lete

Huh!....will these guys survive
nimecheka sana hii,wenyewe wakikusikia wataku JERRY MURO shauri yako
 
Hii ni kielelezo halisi cha yote ambayo huyu jamaa amekuwa aki'preach maisha yake yote!
Viongozi wetu wa sasa vitambi ka nyumba, hakuna maadili, hakuna utaratibu wa ulaji chakula!..

nyama za mbuzi pale Dom-lete
bia za kila aina---lete
Dry drinks------lete
mataptap/chimpumu---lete (hasa wakati wa kuomba kura)
viswange--lete
kongoro---lete

Huh!....will these guys survive

Unatarajia nini wakati baada ya kila nyumba mbili ya tatu ni baa au kilabu cha pombe?

Sasa hivi mabaa yamefika Tegeta na kwenda mbele usipate shida, fedha unayopata katumie kwa Serengeti, chui, Simba, Nyoka..... na kitambi hichoooo kitakufurahia!
icon12.gif
 
Zamani Tanganyika tulikua na utamaduni ulio changanyika na wa kiingereza, ambako kunenepa na kuwa na kitambi haikuzingatiwa kama ni kitu cha kupendeza , baadae TZ ikabadilika kutokana nakufungiwa kuto weza kujua nini nje ya nchi kinfanyika ,tukaanza kua n utamaduni weetu na kuanza watu kunenepeana na kuvaa kaunda suti huku mavitambi kama mimba.
 
So what are you trying to say Kichuguu?

Mpwa Julius,

Its very simple tu ni kuwa viongozi weyu waendane na hali ya uchumi wetu ulivyo na sio wawe tofauti na hali yetu ya uchumi twaonekana ni maskini huku kumbe tuna magap makubwa sana kati ya class ya 1 na watu wa class ya 2 na class ya 3 na ya 4 na zaidi.

nadhani ndiyo anavyo maananisha.

Mfano mzuri kwa Kagame huko Rwanda mawziri wanvyokuwa treated hakuna kujiweka daraja la juu wakati nchi yenu ni maskini ati waziri wataka kuwa na Vogue!! kwa kagame hiyo hakuna. utapata kitu kwa uwezo wako na sio kwa ku hinder amambo hapa, sasa TZ ndio twaongoza mfano jumba la Gavanor Ndullu
 
Back
Top Bottom