Tujikumbushe kidogo

Mkuu kwa ruhusa yako naomba hiyo foto ya pili niprint halafu niiweke kwenye fremu na kubandika ukutani
 
Sina haja ya kusubiri.
Mmekalia ng'weng'we hatutaki ushoga lakini ndio mnaowalipa kunogesha mikutano yanu na vipozeo vyenu mnapokuwa kwenye mizunguko ya kampeni...

Unafiki mtupu, mnadanganya umma kuwa mnaupinga huku mkiwa ndo wateja wakuu wa hao mashoga.

Hembu nionyeshe shoga hata mmoja aliyethubutu kukaa karibu na Jukwaa la wapinzani?

Wanafiki wakubwa nyie mafirauni wafuga mashoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unaandika insha?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…