Swali la leo

Swali la leo

Joined
Dec 20, 2020
Posts
33
Reaction score
56
Kama ungeruhusiwa kusoma kitabu kimoja tu katika muda wako mchache uliobaki wa kuishi duniani…kingekuwa kipi na kwa nini?
 
Ningesoma biblia kwa sababu kinatoa mwongozo wa kiroho, maadili na namna ya kuishi maisha yenye maana. Katika muda mfupi wa mwisho wa maisha, ningehitaji kitu kinachonisaidia kutafakari, kutengeneza amani ya moyo, na kuelewa thamani ya maisha, si maarifa ya dunia tu bali pia maandalizi ya maisha ya milele.
 
Back
Top Bottom