mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,044
Spika Ndugai alimshukia Zitto akaambiwa: Naweza kukunyima kabisa fursa ya kuongea bungeni, hakuna kuuliza swali, hakuna kuchangia chochote na huwezi kunifanya chochote wala kunipeleka popote. Usinichezee mimi nina faili langu Milembe.
Karibuni tuanike hapa ubabe wa kitu Ndugai
Karibuni tuanike hapa ubabe wa kitu Ndugai