babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 16,315
- 20,909
kuna maneno ilikua inatoka iringa mjini-kwenda mtera shalawambe sitasahau hili basi lilikosakosa kutubwaga kilimani km kilomita tano kufika mtera,humo ndani ya basi ilikua ni kama kilabu cha ulanzi maana toka tunatoka iringa si dereva,tingo,abiria wote mnakamata ulanzi huku basi linakata mbuga toka asubuhi mtera tumefika saa sita usiku daah!Iringa-Tanangozi.....Embakassy na Kombora
Songea...Sijui ilikuwa inaelekea wapi kutoka town kupita Bombambili--CHONAPI (hiace hiyo)