KCMC na Kiboriloni kulikuwa na basi linaitwa KItoto holdings
Ha ha ha Moshi Mjini - KCMC kulikuwa kuna basi linaitwa CHEUPE KARUDI
Ha ha ha Moshi Mjini - KCMC kulikuwa kuna basi linaitwa CHEUPE KARUDI
KCMC na Kiboriloni kulikuwa na basi linaitwa KItoto holdings
Akachube!
Yes ngoma nzito!
Skolastika!
Ecarus ( uda)!
hapo unashuka kwa mama ndesa unapiga kitimoto ya kufa mtu.
big up mkuu, umenikumbusha mbali! Enzi hizo tukipanda magari ya UDA, nikitoka M/Chai kwenda Azania sec. tukitelemkia pale fire.
Nilitamani sana kupanda yale mabasi marefu-ekarusi 'kumbakumba'. Nawashangaa wale wa waliopanda mabasi ya 'embakkasi' kule Songea; Bijampola (bukoba). Issue hapa ni 'daladala'.
Bouble coster za kwanza ni BlackBelt,Kyupi Trans wewe!!1990 sema jingine wewe!!:A S 465:mbeya kulikua na mwailubi,urassa,sokolo,mbembela,double coaster ya kwanza mbeya nzima el_kibo,karanja ilikua inapiga tripu tukuyu-mbeya mjini,wengine wataongezea.
UBUNGO-POSTA........"MILANO"
Yalikuwa magari makubwa automatic gear......dereva wake mmoja akiitwa ukwaju huyu alikuwa mtoto wa aliyekuwa mwenyekiti wa SIMBA S.C.......Kisha dereva mwingine akiitwa ABDALAH MZURI...huyu alikuwa dereva wa VIDETA LINE(motel villa de tanzanie)
Sio Matema Beach ni Shella Beach (mziki mkubwa), usisahau Ole wao wafuatao nyayo za simba - Ubungo-Posta
Mulilege, Mwasalemba! Martin ngulo! ukufuma Ku-mbeje -Kutukuju- kungonde Kyelambeya kulikua na mwailubi,urassa,sokolo,mbembela,double coaster ya kwanza mbeya nzima el_kibo,karanja ilikua inapiga tripu tukuyu-mbeya mjini,wengine wataongezea.
Iringa-Tanangozi.....Embakassy na Kombora
Songea...Sijui ilikuwa inaelekea wapi kutoka town kupita Bombambili--CHONAPI (hiace hiyo)
Sio Matema Beach ni Shella Beach (mziki mkubwa), usisahau Ole wao wafuatao nyayo za simba - Ubungo-Posta