Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,331
- 4,241
Wakubwa na wadogo, vijana na wazee, watoto na wakubwa na wanawake kwa wanaume inakuaje asee watu wangu wa nguvu.
Moja kwa moja kwenye mada. Kama kwicha cha mada hapo juu tujichoreni tatoo mwilini kama kumuenzi balozi Humphrey Polepole.
Popote mwilini. Mimi tayari niko kwenye maandalizi ya kumchora Mwamba begani.
Hii itakuwa alama ya kumuenzi huyu shujaa. Ili vizazi vijavyo vijifunze na kulinda legacy ya mwamba.
adriz Mjusi Sharobalo Lucha Stuxnet matumaini nanyi mtamuenz kwa kufanya hivi.
Moja kwa moja kwenye mada. Kama kwicha cha mada hapo juu tujichoreni tatoo mwilini kama kumuenzi balozi Humphrey Polepole.
Popote mwilini. Mimi tayari niko kwenye maandalizi ya kumchora Mwamba begani.
Hii itakuwa alama ya kumuenzi huyu shujaa. Ili vizazi vijavyo vijifunze na kulinda legacy ya mwamba.
adriz Mjusi Sharobalo Lucha Stuxnet matumaini nanyi mtamuenz kwa kufanya hivi.