TUJADILI: Wizara ya Wanawake, Jinsia na Makundi Maalumu. Makundi Maalumu ni yapi hayo?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Jamani kuna hii wizara mpya aliyopewa Dorothy Gwajima, inaitwa wizara ya wanawake, jinsia na MAKUNDI MAALU MU.

Je, hayo makundi maalumu yanayowekwa pamoja na wanawake na jinsia ni yapi hayo?

Isije ikawa ni mashoga na wasagaji na waliobadilisha jinsia! Ni vizuri ikawekwa wazi mapema.

Huko Ulaya na Marekani MASHOGA WASAGAJI ndo huitwa makundi maalumu!!
 
kama huyajui makundi maallum nina wasi wasi na elimu yako
... hakuna anayejua kila kitu Chief au hata kwa wanaojua tafsiri zinaweza kuwa tofauti. Wewe unayejua fafanua hayo makundi maalumu ni yapi?
 
Bila shaka makundi maalumu ni kama Walemavu na kuendelea.

Hapa kichwa nachekecha kujua jinsia yenyewe ni watu gani wanazungumziwa maana hapo wamesema ni wizara ya Wanawake, jinsia na Makundi maalumu.
Sasa wametajwa wanawake tena na neno jinsia sasa hiyo jinsia stand for what?
 
Jamani kuna hii wizara mpya aliyopewa Dorothy Gwajima, inaitwa wizara ya wanawake, jinsia na MAKUNDI MAALU MU, je hayo makundi maalumu yanayowekwa pamoja na wanawake na jinsia ni yapi hayo? Isije ikawa ni mashoga na wasagaji na waliobadilisha jinsia!! Ni vizuri ikawekwa wazi mapema!! Huko ulaya na marekani MASHOGA WASAGAJI ndo huitwa makundi maalumu!!
Hili swali lako liende kwa kina amstedam na Lisu maana ndio walikuwa wapigania na watetezi wakubwa wa haki za mashoga nchini.
 
Mashoga, wafiraji, wasagaji, walioharibika kwa mihadarati, wasioolewa, nk.
(NB. Walevi hawaingii kwenye makundi maalum).

Hawa wanachukuliwa kama makundi ya kusaidiwa kama walivyo walemavu.
 
Bila shaka makundi maalumu ni kama Walemavu na kuendelea.

Hapa kichwa nachekecha kujua jinsia yenyewe ni watu gani wanazungumziwa maana hapo wamesema ni wizara ya Wanawake, jinsia na Makundi maalumu.
Sasa wametajwa wanawake tena na neno jinsia sasa hiyo jinsia stand for what?
... nadhani jinsia ina-cover jinsia ambazo hazijatajwa moja kwa moja kwenye jina la wizara.
 
Mashoga, wafiraji, wasagaji, walioharibika kwa mihadarati, wasioolewa, nk.
(NB. Walevi hawaingii kwenye makundi maalum).

Hawa wanachukuliwa kama makundi ya kusaidiwa kama walivyo walemavu.
... mzaha mzaha tume-surrender kwa mabeberu ili tupate misaada? Hatari sana unless you are joking!
 
... nadhani jinsia ina-cover jinsia ambazo hazijatajwa moja kwa moja hapo.
Jinsia hua zipo mbili japo husemwa na ya tatu na hapo kwa jinsia ya kiume sizani kama inapewa nafasi.
Kwa nini isiwe walau Wizara ya Wanawake, wazee, watoto na makundi maalumu. Ni ushauri tu
 
Jinsia hua zipo mbili japo husemwa na ya tatu na hapo kwa jinsia ya kiume sizani kama inapewa nafasi.
Kwa nini isiwe walau Wizara ya Wanawake, wazee, watoto na makundi maalumu. Ni ushauri tu
... with due respect you're wrong! Kuna tofauti kati ya jinsi (sex) na jinsia (gender); kilichopo kwenye jina la wizara ni JINSIA. Jinsi/sex kiumbe kinakuwa assigned at birth and, in principle, there are only two - MALE/FEMALE; JINSIA/GENDER ni pana zaidi and there are several of them including transgender, and the like.

Mleta mada kauliza swali la msingi sana japo baadhi tunamdhihaki. Pia, hilo neno JINSIA/GENDER kwenye jina la wizara halijawekwa kwa bahati mbaya. Wana maana yao.
 
... with due respect you're wrong! Kuna tofauti kati ya jinsi (sex) na jinsia (gender); kilichopo kwenye jina la wizara ni JINSIA. Jinsi/sex kiumbe kinakuwa assigned at birth and, in principle, there are only two - MALE/FEMALE; JINSIA/GENDER ni pana zaidi and there are several of them including transgender, and the like.

Mleta mada kauliza swali la msingi sana japo baadhi tunamdhihaki. Pia, hilo neno JINSIA/GENDER kwenye jina la wizara halijawekwa kwa bahati mbaya. Wana maana yao.
Kwa tusio fahamu ndio mtueleze kua jinsia iliyo wekwa hapo ni jinsia gani wengine hatufahamu.
 
Kwa tusio fahamu ndio mtueleze kua jinsia iliyo wekwa hapo ni jinsia gani wengine hatufahamu.
... kuna member mmoja hapo juu (post #3) amesema jinsia inabeba mazagazaga yote wataalamu watatuelewesha zaidi.
 
... kuna member mmoja hapo juu (post #3) amesema jinsia inabeba mazagazaga yote wataalamu watatuelewesha zaidi.
Mdau ameeleza kuhusu Makundi maalumu.
Anyway ngoja tusubiri wajuzi zaidi
 
1. WANAWAKE
2. WAZEE
3. WALEMAVU
4. WATOTO
Tuhakikishiwe kuwa LGBT haitawekwa hapo kuanzia mwanzo kabisa tusije tukaingizwa choo cha kike!! Nasema ni kwa sababu kundi la LGBT lkmekuwa likitafsiriwa huko kwingine kama kundi maalum !
 
Wapinzani wa TZ, maana akili zao wanazijua wenyewe! Mara wakale mihogo na ubwabwa mahakamani, mara wakakate keki mahakamani, leo wanamchukia Ndugai and kesho akiondolewa wanamtetea, mara wamwite mtu fisadi baada ya muda wanampokea agombee urais! Hao hao wanapinga watoto wa viongozi kuwa mawaziri the same time huwasikii wakisema mkiti wao wa kudumu yupo pale sababu kubwa ni kumuoa mwanzilishi wa chama!
 
Back
Top Bottom