fige
JF-Expert Member
- Jul 4, 2010
- 376
- 61
Kwa hakika hakuna mtanzania anayeilewa na kusoma katiba iliyopo na mwenye mapenzi mema na Nji hii anayepinga KATIBA MPYA.
Kwa busara na hekima ya wanaoisoma Katiba yetu naomba tuainishe mapungufu yake ikiwezekana kuanzia na utangulizi unaosema sisi wananchi wa JMT wakati ukweli ni kwamba sio sisi ila ni viongozi ndio walioiandaa na si wananchi wote walioiandaa katiba ilyopo wala hawakutoa ridhaa yao.
Ni vema tuka ainisha vipengele hivyo ili watu wajue kinachodaiwa .Natoa wito kwa waandishi wa makala mbalimbali magazetini na mada mbalimbali kwenye runinga au redioni zijikite katika kujadili vifungu hivyo kuliko ku site moja kwa moja katika kudai katiba mpya bila kutaja mapungufu ya katiba iliyopo.
kufanya hivyo kutafanya hata wale wanaopinga mabadiliko hayo kuchangia au kuona aibu kuendelea kupinga.Vilevile itatusaidia tulio wengi kuijua katiba ya nchi yetu vizuri.
Nawasilisha wakuu.
Kwa busara na hekima ya wanaoisoma Katiba yetu naomba tuainishe mapungufu yake ikiwezekana kuanzia na utangulizi unaosema sisi wananchi wa JMT wakati ukweli ni kwamba sio sisi ila ni viongozi ndio walioiandaa na si wananchi wote walioiandaa katiba ilyopo wala hawakutoa ridhaa yao.
Ni vema tuka ainisha vipengele hivyo ili watu wajue kinachodaiwa .Natoa wito kwa waandishi wa makala mbalimbali magazetini na mada mbalimbali kwenye runinga au redioni zijikite katika kujadili vifungu hivyo kuliko ku site moja kwa moja katika kudai katiba mpya bila kutaja mapungufu ya katiba iliyopo.
kufanya hivyo kutafanya hata wale wanaopinga mabadiliko hayo kuchangia au kuona aibu kuendelea kupinga.Vilevile itatusaidia tulio wengi kuijua katiba ya nchi yetu vizuri.
Nawasilisha wakuu.