Kutangaza shule inayoshika nafasi ya kwanza, yapili nk.
Faida
I. inaongeza ushindani kwa wamiliki wa shule
II. inaongoza wazazi kujua shule ipi nzuri.
Hasara
I. inasababisha wizi wa mitihani ya Taifa
II. inasababisha ubaguzi kwa watoto kupitia mitihani ya michujo.
Binafsi napendekeza ufutwe necta iwe inatangaza wanafuzi walioongoza tu kwa sababu zipo shule zinazo chukua kila mwanafunzi anaeomba nafasi ya kujiunga na masomo lakini shule nyingine zinachukua wanafunzi ambao wako vizuri tu.
Faida
I. inaongeza ushindani kwa wamiliki wa shule
II. inaongoza wazazi kujua shule ipi nzuri.
Hasara
I. inasababisha wizi wa mitihani ya Taifa
II. inasababisha ubaguzi kwa watoto kupitia mitihani ya michujo.
Binafsi napendekeza ufutwe necta iwe inatangaza wanafuzi walioongoza tu kwa sababu zipo shule zinazo chukua kila mwanafunzi anaeomba nafasi ya kujiunga na masomo lakini shule nyingine zinachukua wanafunzi ambao wako vizuri tu.