Tujadili kuhusu matuta barabarani

Tujadili kuhusu matuta barabarani

Najua wengi wangesema hivyo kama wewe lakini inawezekana kabisa. Uvivu wa kufikiria ndo unatufanya tusitambue haya. Wewe unaamini kuwa hatuwezi kuwa na database ya nchi hii? We unakubali kuwa matuta ni suluisho? Hiyo miaka kibao unayoiongea watakuwa wamekufa wangapi ka matuta tu achilia mbali mwendo kasi?
Mradi wa anuani za makazi ya watu alieyeuanzisha ni mwananchi ama viongozi wako? Mbona hausikiki tena? Narudia ni uvivu wa kufikiri tu ndo unaotufanya tuwe hapa!

halafu mkuu Eeka Mangi apo umeongea la maana...hivi tukifanya research ya wahanga wa ajali za bara barani wangapi chanzo kikubwa ni uzembe wa madereza, na hata baada ya kuweka matuta ajali zinaongezeka tu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nje unakusudia Ulaya, Marekani? usiende huko kote tembelea hata kwa jirani zatu tu hapa Afrika mashariki mbona mambo ni tofauti na hapa kwetu,experience yangu ya Uganda, Burundi na Kenya inanionesha alama za barabarani ni nyingi zaidi ya matuta especially kwenye highways. Taztizo ni nni? ignorance ya madereva au watumiaji wengine wa barabara au wote?

Exactly my point MWENDAKULIMA......sisi tumekariri au ni kamradi ka mtu?
 
Last edited by a moderator:
halafu mkuu Eeka Mangi apo umeongea la maana...hivi tukifanya research ya wahanga wa ajali za bara barani wangapi chanzo kikubwa ni uzembe wa madereza, na hata baada ya kuweka matuta ajali zinaongezeka tu
Mkuu hapo nakukatalia nakwambia yaani uzembe na bila matuta na uzembe na matuta ajali za uzembe bila matuta ni nyingi mno! hebu chukua mfano mdogo tu, mtaanai baada ya kuwekwa matuta kesi za watu kugongwa zimepungua! Kaizer kuna madereva careless sana! ukishangaa mara mara moja wamepita na wewe!
 
Kuna moja lipo pale mitaa ya Ilboru Arusha nafikiri ndio kubwa afrika mashariki na kati.

hahaha lile lina a very sharp crest ila sio baya kama mengine niliyoshuhudia
 
ila tuta lina raha yake bana!
ile kunesa hiv af kurudi chini!
:tape: Kaizer BACK TO THE TOPIC HARAKA!
 
Last edited by a moderator:
Na hapo uombe traffic asikuone! manake 30K inahusu chaaaap!

yote hiyo? khaa 5

haki ya nani sitoagi zaidi ya hiyo tena hapo unakuta nina haraka ya kuwahi mahali otherwise nipo tayari kabisa tupotezeane muda coz ya 5k, bia mbili ati hapo, hahahahha,

hahaaa na chenji inarudi kutegemeana na bar....lol

unaona sasa, mie mara kibao namcal msukuma nimekamatwa, hapo tumefanya ubishani wa kumpa 5k,hahahaha, kuna jmosi moja niliimalizia kituoni, mwanamke nimegoma kutoa 5k, kuna trafiki wawili wa kike wananichukia mbaya kabisaaa, (sikuwapa walichotaka)hahahahaha yaani wameshika no ya ka vitz kangu kama sala ya baba yetu, wakiniona kuanzia kuleeee lazima wanipige mkono na mkwara wa kike kike juu.
Nyamayao na Kaizer...Yaani kumbe nyie ndio mnainyima serikali mapato....badala mlipe fine kwa serikali ili isadie kujenga matuta mengi zaidi nyie mnatoa kidogo dogo? :A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:
 
Last edited by a moderator:
kama huku moshi wazungu wakishuka kia mituta wanayokutana nayo wanaona washafika mlima kilimanjaro hivo

hehheheheheheh Smile mbavu zanguuu
 
Last edited by a moderator:
Nyamayao na Kaizer...Yaani kumbe nyie ndio mnainyima serikali mapato....badala mlipe fine kwa serikali ili isadie kujenga matuta mengi zaidi nyie mnatoa kidogo dogo? :A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:

tobaaaa Nyamayao tumedakwa na Rejao.....asije akatusemela kwa Nape....

ivi mkuu ina maana matuta sawa kabisa?
 
Last edited by a moderator:
Nyamayao na Kaizer...Yaani kumbe nyie ndio mnainyima serikali mapato....badala mlipe fine kwa serikali ili isadie kujenga matuta mengi zaidi nyie mnatoa kidogo dogo? :A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:

Rejao, nadhani unajua hawa watu walivyoving'ang'anizi, au labda wa huku kwetu njaa zimewazidi, hapo una haraka utafanyaje sasa na yeye anaona kabisa kama unaweza kumpa ila unambania? atakuambia paki pembeni anaendelea kupiga mikono kwa wengine utakaa hapo weee ili mradi akukomoe tu.
 
Kwa jinsi ya uendeshaji wa magari wa Tanzania ulivyo mimi naona hayo matuta yaliyopo hayatoshi kabisa.

Ingekuwa juu yangu ningeweka matuta kwenye barabara kila baada mita moja ili kutia watu akili.

The reckless driving and the reckless disregard for the safety of others shown by many of the drivers is beyond words!

I say we need more speed humps on just about every road, street, highway, expressway, and any other motor-vehicle passable way.
 
hahahahha we una balaa wewe! khaa
aisee umepoteaje ? nasikia huko mo town kumegeuga uwanja wa tigo ...wachaga wanakula tigo balaa kwa mabeki 3 wao....hebu nirushie hiyo cd nione maana siamini mie
 
tobaaaa Nyamayao tumedakwa na Rejao.....asije akatusemela kwa Nape....

ivi mkuu ina maana matuta sawa kabisa?
Kwa Tanzania mimi ninaona matuta ni sawa kabisa na ninazo sababu kuu 2.
Ya kwanza ni umasikini wetu....ukijaribu kuangalia nchi za wenzetu barabara nyingi ambazo ni highway ni non stop roads. juctions zote pamoja na vivuko vyote vimekwa kwa form ya daraja or fly over.

Sababu ya pili ni ukosefu wa elimu na uzembe wa madereva pamoja na watumia barabara wote. Watu tumekuwa wazito kutumia sehemu maalum za kuvukia (zebra) tulizowekewa matokeo yake tunapenda short cuts na kuvuka popote. unaweza ukaona mfano pale manzese, serikali imejitahidi kuweka kivuko juu but still watu hawataki kukitumi wanataka wapite chini. Madereva wengi kama wewe mwenyewe Kaizer na Nyamayao mmeonyesha waziwazi kuwa mnaweza kuvunja sheria tu cuz you know mkikamatwa utatoa tu hongo kidogo na maisha yataendelea. Kutokana na sisi wenyewe kuwa wazembe kwenye matumizi ya barabara na kutofuata alama zilizowekwa, vyombo husika vinaona the only solution ni kukulazimisha kupunguza mwendo kwa kukuwekea kitu ambacho lazima upunguze mwendo....otherwise uite breakdown ya kupeleka gari yako kwa mchina.

Kwa minajili hiyo mi naona matuta ni sawa tu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi ya uendeshaji wa magari wa Tanzania ulivyo mimi naona hayo matuta yaliyopo hayatoshi kabisa.

Ingekuwa juu yangu ningeweka matuta kwenye barabara kila baada mita moja ili kutia watu akili.

The reckless driving and the reckless disregard for the safety of others shown by many of the drivers is beyond words!

I say we need more speed humps on just about every road, street, highway, expressway, and any other motor-vehicle passable way.
kweli mbeb yaani ukiangalia speed dereva anapita nayo kwenye zebra...unajiuliza huyu mtu alisoma hata ka chuo ka kata kudrive kweli?
 
halafu mkuu Eeka Mangi apo umeongea la maana...hivi tukifanya research ya wahanga wa ajali za bara barani wangapi chanzo kikubwa ni uzembe wa madereza, na hata baada ya kuweka matuta ajali zinaongezeka tu

ajali nyingi nilizozishuhudia na kusikia ni uzembe wa madereva[refer ajali za mabasi].....kwani hayo matuta si yanawekwa kwenye sehemu zenye watu wengi[karibu na vijiji/shule etc] ?huko mnakosema hamna matuta HIGHWAY zao mnazijua?kwanza zinapita mbali na residential areas au zikipita karibu zinawekwa fence na hakuna pedestrian anaruhusiwa kupita karibu[ni kosa la jinai]....hizi zetu tunazibatiza jina HIGHWAY hizi ni country lanes tu ndio maana zinapita vijijini....kuna watu,mifugo,wanyama pori so lazima waweke matuta kulinda usalama wa watumiaji wengine....msiangalie magari na comfortability zenu....fikirieni madereva[wengi] wa kibongo wanavyoendesha na watoto wa huko vijijini hizo "highway" zinapopita.....
 
Rejao, nadhani unajua hawa watu walivyoving'ang'anizi, au labda wa huku kwetu njaa zimewazidi, hapo una haraka utafanyaje sasa na yeye anaona kabisa kama unaweza kumpa ila unambania? atakuambia paki pembeni anaendelea kupiga mikono kwa wengine utakaa hapo weee ili mradi akukomoe tu.
Lakini kwanini uvunje sheria?
 
kweli mbeb yaani ukiangalia speed dereva anapita nayo kwenye zebra...unajiuliza huyu mtu alisoma hata ka chuo ka kata kudrive kweli?

Hakuna cha taa nyekundu wala njano...mijitu inakatiza tu bila kujali.

Yaani ingekuwa uamuzi wangu wangekoma kabisa. Kuendesha gari Dar ni adhabu tupu.
 
Kwa jinsi ya uendeshaji wa magari wa Tanzania ulivyo mimi naona hayo matuta yaliyopo hayatoshi kabisa.

Ingekuwa juu yangu ningeweka matuta kwenye barabara kila baada mita moja ili kutia watu akili.

The reckless driving and the reckless disregard for the safety of others shown by many of the drivers is beyond words!

I say we need more speed humps on just about every road, street, highway, expressway, and any other motor-vehicle passable way.

sawa kabisa....tena matuta kweli....ukiwawekea ya kistaarabu wanapita kama hamna matuta hayo maprado yao....
 
Back
Top Bottom