neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,860
- 2,149
mie sio mtaalamu .. but nachojua yanawekwa ili kudhibiti mwendo mkali na wakati mwingine kwa demand ya wananchi baada ya eneo husika kukumbwa na ajali mara kwa mara.
but to be honest yanahitaji standard mengine ni makubwa hadi kero.. ukipita na ka vitz kako unatamani ukabebe mgongoni kukavusha kwi kwiiiiiii.
but to be honest yanahitaji standard mengine ni makubwa hadi kero.. ukipita na ka vitz kako unatamani ukabebe mgongoni kukavusha kwi kwiiiiiii.