Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
Wakuu habari ya Ijumaa?
Kwa wale watumiaji wa vyombo vya moto hususani kwenye bara bara kuu yaani highway, iwe kwa usafiri wa public au wa binafsi, kuna hii ninayoona binafsi kama kero ya matuta:
Kwanza, yapo mengi katika umbali mdogo
Pili, yapo matuta 'yasiyokidhi viwango' kwa maana ya kwamba matuta yote kwenye bara bara zetu hayana kiwango kinachofanana, mwengine makubwa, mwengine madogo, membamba lakini yamechongoka, ya lami na yasiyokuwa ya lami, ili mradi hakuna raha/comfort tena ya kusafiri
Najiuliza kwa nini serikali iingie garama kuweka lami kwa mfano, bara bara nzuri tu, kisha ije "iharibu" kwa kuweka matuta tena makubwa mno? Kwa mfanio bara bara kuu kutoka minjingu kwenda hadi dareda kuna matuta yamewekwa siku hizi, nahofia kiwango chake cha ubora na hivyo usalama wa watu na magari yao.
Ningeomba na wengine wenye uzoefu wa hii makitu watupie hapa tujadili huenda Magufuli akasikia maana kuna wakati nishamsikia akisema kuwa matuta kwenye highway yaondolewe
Niseme kwamba hii sio disrespect kwa waenda kwa miguu au wananchi wanaoishi kando kando mwa sehemu hizo....hapana...ni suala la aina na sehemu matuta yenyewe yanapowekwa...yanakidhi viwango? Kuna standards? kwa nini yanatofautiana hivi?
cc Bigirita watu8 KakaKiiza Mtambuzi Nyamayao Chocs neggirl Asprin Madame B @@amu Kipaji Halisi Remote Rejao Preta PakaJimmy Mzee wa Rula Filipo marejesho LiverpoolFC Lily Flower Eeka Mangi Kimey Teamo
Kwa wale watumiaji wa vyombo vya moto hususani kwenye bara bara kuu yaani highway, iwe kwa usafiri wa public au wa binafsi, kuna hii ninayoona binafsi kama kero ya matuta:
Kwanza, yapo mengi katika umbali mdogo
Pili, yapo matuta 'yasiyokidhi viwango' kwa maana ya kwamba matuta yote kwenye bara bara zetu hayana kiwango kinachofanana, mwengine makubwa, mwengine madogo, membamba lakini yamechongoka, ya lami na yasiyokuwa ya lami, ili mradi hakuna raha/comfort tena ya kusafiri
Najiuliza kwa nini serikali iingie garama kuweka lami kwa mfano, bara bara nzuri tu, kisha ije "iharibu" kwa kuweka matuta tena makubwa mno? Kwa mfanio bara bara kuu kutoka minjingu kwenda hadi dareda kuna matuta yamewekwa siku hizi, nahofia kiwango chake cha ubora na hivyo usalama wa watu na magari yao.
Ningeomba na wengine wenye uzoefu wa hii makitu watupie hapa tujadili huenda Magufuli akasikia maana kuna wakati nishamsikia akisema kuwa matuta kwenye highway yaondolewe
Niseme kwamba hii sio disrespect kwa waenda kwa miguu au wananchi wanaoishi kando kando mwa sehemu hizo....hapana...ni suala la aina na sehemu matuta yenyewe yanapowekwa...yanakidhi viwango? Kuna standards? kwa nini yanatofautiana hivi?
cc Bigirita watu8 KakaKiiza Mtambuzi Nyamayao Chocs neggirl Asprin Madame B @@amu Kipaji Halisi Remote Rejao Preta PakaJimmy Mzee wa Rula Filipo marejesho LiverpoolFC Lily Flower Eeka Mangi Kimey Teamo
Last edited by a moderator: