Nina elimu ndogo? We bwanamdogo usifikiri kila MTU ni duni Kama wewe nina elimu ifuatayo...
Post graduate diploma ya diplomasia.....
LLB. ( hons) university of Dar es salaam
MA. In international and intercultural communication...
University of Denver, Colorado USA......
Usijefikiri kwakuwa tunajadiliana hapa basi tupo sawa...
Punguani wahed!!!!
walimu wenzangu tuacheni
uoga wa kijinga jamani, sasa mnakatwa mishahara yenu nyie mpo kimya.
Huu ni ujinga tena sn. CWT mko wapi mbona walimu tunaonewa nyie mpo
kimya?
mwisho Wa siku inakusaidiaje kujikwamua na ujinga na unafiki Wa kitanzania?
hahahaaaa! Yaani kila nikisoma kipande hiki ulicho post najisikia kucheka sana na hii imenifanya nitumie elimu niliyo nayo ambayo wewe itakuwa historia kwako kuifikia,kujua characteristics zako kwani kwanza ni kujua umri wako,tabia zako,upeo wako wa fikra,u're IQ , personality, na mambo mengi sana nime diagnose kutoka kwako kupitia kipande chako ulicho tuma hiki hapa chini;
''NUKUU''
nina elimu ifuatayo... Post graduate diploma ya diplomasia..... LLB. ( hons) university of Dar es salaam MA. In international and intercultural
communication... University of Denver, Colorado USA......
mwisho Wa siku inakusaidiaje kujikwamua na ujinga na unafiki Wa kitanzania?
hana lolote huyo ni juha tu, kajipachika ngazi za elimu ambazo hana hadhi nazo maana hata ujibuji wake wa hoja hapa una prove hilo kwamba huyu ni mburumundu tu!kama mamburumundu wenzie,
Inanisaidiaje? Imenifanya nisile ugali Wa shikamoo...
Nakula kwa jasho langu kulinda utu wangu
Nilikuwa namrekebisha yule punguani ktk hali ya kawaida msomi huwezi andika salary sleep...
utu gani una ulinda wakati unatumika na wala rushwaa?? Acha kuwa muongo wewe hata kama uongo ndio sera ya ccm.
kwi kwi kwi! ila anaweza kuandika sary slip
Usinionee kijicho mi msomi na mwakani naanza kuchukua PhD Italia Sana
Wapi nimesema walimu hawana akili? Mi nimemkosoa niliyemquote....
Yeah kwani vipi dadangu?
yaani unazidi ku prove failure we juha! Msomi anaye taka sifa sijawahi muona ! Endelea tu kupandisha sketi yako chup ikisha onekana utasifiwa.
KUWA NA ELIMU NDOGO NALO NI TATIZO KUBWA SANA KATIKA TAIFA LOLOTE!
Uliandika hivi
" Salary sleep ndo kitu gani? ndo maana
mna poor reasoning Sana maana
hamna akili..."
Hapa haukumaanisha mtu mmoja ulimaanisha wengi. Mkuu hao walimu unaowatukana wana poor reasoning bila wao usingekuwepo hapo ulipo, huwa sipendi kuona mwalimu akitukanwa na kidhalilishwa.
Na mtu kukosea kuandika ni mapungufu tu ya kibinadamu, ndo maana kwenye lugha hasa second language kuna errors na mistakes.
msomi wa lumumba