Tujadili hili janga kuokoa Walimu Nchini

Tujadili hili janga kuokoa Walimu Nchini

Ila mbongo ni mtu wa ajabu sana ona linamsimanga mwenzake wakati na lenyewe limeandika Sary, wakati mkosolewaji aliandika Salary


Wewe ndio tutusa kwa kushindwa kung'amua kuwa kosa halikua kuandika salary isipokuwa aliandika salary sleep kitu ambacho si sahihi na mbadala wake ni salary slip ...
Poor you!!!
 
SOMA NA UTAFAKARI: Ndugu zangu nilivyosikia kwa mara ya kwnza wiki iliyopita kuwa WALIMU WOTE WAKATWE TSh.10,000/= ktk mishahara yao nchi nzima nilidhani ni jambo tu lililovumishwa ktk "Social Network" zetu hizi lakin kumbe serkali hii ya kidhalimu imedhamiria kumuadabisha mtu wa Hali ya chini na kuzidi kudidimiza.. Ndugu zangu haiingii AKILINI kwa watu wazima tena wachumi na viongozi wenye kumjua mwalimu ni mfanyakazi mwenye kulipwa mshahara wa chini sana kuamua kumuambia MWALIMU ETI AKATWE MSHAHARA WAKE KIDUCHU KWA AJILI YA KUSAIDIA UJENZI WA MAABARA MASHULENI.!! Naomba kujua vitu viwili vitatu hivi. 1. Ilani ya CCM(2010-2015) imetamka hivyo kuwa maabara za shule zitajengwa kwa kuchangiwa na mwalimu mwenyew?? 2. Kama haikutamka hivyo serkali ya CCM inaongoza nchi kwa kutumia ilani ya chama gani? 3. Walimu hawa wao ni wazalendo kiasi gani mpaka kubeba mzigo huo huku WAWEKEZAJI WAKISAMEHEWA KODI KTK MIKATABA YAO YA UWEKEZAJI?? 4. Kwa tamko hili unadhani mh.RAIS amepata WASHAURI WAZURI Kweli? 5. Kodi ya kila mwezi anayokatwa mwalimu inapelekwa wap?. Nahis huu ni mfumo mpya wa maendeleo kuwa kila mfanyakazi kuchangia maendeleo ya sekta yake mfano pengine tutasikia MADAKTARI NA MANESI wakikatwa mishahara kuchangia madawa na mengineyo ilihali Kodi anakatwa kama RAIA mwngne. Nionavyo mim hii ni pesa inayokusanywa pengine kwa ajili ya uchaguzi wa mwakani 2015. WALIMU TUAMKE KUPINGA UDHALIMU HUU SIO HAKI HATA KIDOGO. TUMUEZI BABA WA TAIFA(MWALIMU BY PROFESSIONAL) MWAKA HUU 14/10/2014 KWA KUPINGA HADHARANI BILA KIFICHO HUKU NI ZAIDI YA KUDHALILISHANA JAMANI..!!

Chenji ya UKAWA ambao walitakiwa kulipwa kila Sikh 300000 hawakuingia bungeni BMK inafanya kazi gani? Nchi ya Rwanda zerikali inaimarisha benki za walimu kukuza kipato chao kwetu wanakatwa mishahara yao. Hii sasa ni zaidi ya dhihaka.
 
Duuuuh nilijuaga umeenda shule hata kidogo kumbe papai tu kichwani?

Salary sleep ndo kitu gani? ndo maana mna poor reasoning Sana maana hamna akili...


siku nyingine usirudie inaitwa Salary Slip

wewe mwenye good reasoning umelifanyia nini taifa hili?? Ujinga wa ccm na vibaraka wao ni kushuhulika na vitu visivyo kuwa na msingi na kuacha mambo ya msingi na mazito yanayo liangamiza taifa. Sasa hapa sijui nani ameonekana ana poor reasoning, wewe unae acha kuchukua hoja ya msingi na kuitolea ufafanuzi!?au yeye aliye toa hoja ya msingi ikiwa na makosa kidogo ya kiuandishi, vijana wa ccm jifunzeni kutumia akili zenu kutafakari mambo ya msingi, nape kasha waharibu maana na yeye akilizake zimesimama anaweza kuropoka tu.
 
wewe mwenye good reasoning umelifanyia nini taifa hili?? Ujinga wa ccm na vibaraka wao ni kushuhulika na vitu visivyo kuwa na msingi na kuacha mambo ya msingi na mazito yanayo liangamiza taifa. Sasa hapa sijui nani ameonekana ana poor reasoning, wewe unae acha kuchukua hoja ya msingi na kuitolea ufafanuzi!?au yeye aliye toa hoja ya msingi ikiwa na makosa kidogo ya kiuandishi, vijana wa ccm jifunzeni kutumia akili zenu kutafakari mambo ya msingi, nape kasha waharibu maana na yeye akilizake zimesimama anaweza kuropoka tu.


Mbona umetokwa povu Sana? Nijikite kujadili upuuzi?

Nape kaingiaje hapa? Binti mi sio size yako...
 
Duuuuh nilijuaga umeenda shule hata kidogo kumbe papai tu kichwani?

Salary sleep ndo kitu gani? ndo maana mna poor reasoning Sana maana hamna akili...


siku nyingine usirudie inaitwa Salary Slip

"Nilijuaga"????

Wasomi wa siku hizi ni tabu tupu. Mnakosoa waliokosea lugha za watu wakati ya kwenu inawashinda..
 
SOMA NA UTAFAKARI: Ndugu zangu nilivyosikia kwa mara ya kwnza wiki iliyopita kuwa WALIMU WOTE WAKATWE TSh.10,000/= ktk mishahara yao nchi nzima nilidhani ni jambo tu lililovumishwa ktk "Social Network" zetu hizi lakin kumbe serkali hii ya kidhalimu imedhamiria kumuadabisha mtu wa Hali ya chini na kuzidi kudidimiza.. Ndugu zangu haiingii AKILINI kwa watu wazima tena wachumi na viongozi wenye kumjua mwalimu ni mfanyakazi mwenye kulipwa mshahara wa chini sana kuamua kumuambia MWALIMU ETI AKATWE MSHAHARA WAKE KIDUCHU KWA AJILI YA KUSAIDIA UJENZI WA MAABARA MASHULENI.!! Naomba kujua vitu viwili vitatu hivi. 1. Ilani ya CCM(2010-2015) imetamka hivyo kuwa maabara za shule zitajengwa kwa kuchangiwa na mwalimu mwenyew?? 2. Kama haikutamka hivyo serkali ya CCM inaongoza nchi kwa kutumia ilani ya chama gani? 3. Walimu hawa wao ni wazalendo kiasi gani mpaka kubeba mzigo huo huku WAWEKEZAJI WAKISAMEHEWA KODI KTK MIKATABA YAO YA UWEKEZAJI?? 4. Kwa tamko hili unadhani mh.RAIS amepata WASHAURI WAZURI Kweli? 5. Kodi ya kila mwezi anayokatwa mwalimu inapelekwa wap?. Nahis huu ni mfumo mpya wa maendeleo kuwa kila mfanyakazi kuchangia maendeleo ya sekta yake mfano pengine tutasikia MADAKTARI NA MANESI wakikatwa mishahara kuchangia madawa na mengineyo ilihali Kodi anakatwa kama RAIA mwngne. Nionavyo mim hii ni pesa inayokusanywa pengine kwa ajili ya uchaguzi wa mwakani 2015. WALIMU TUAMKE KUPINGA UDHALIMU HUU SIO HAKI HATA KIDOGO. TUMUEZI BABA WA TAIFA(MWALIMU BY PROFESSIONAL) MWAKA HUU 14/10/2014 KWA KUPINGA HADHARANI BILA KIFICHO HUKU NI ZAIDI YA KUDHALILISHANA JAMANI..!!


Hivi kwa siku unakula sh. Ngapi hadi ukimbilie kufungua thread ya malalamiko kukatwa elfu 10 tena kwa mwezi??

Unakunywa pombe za sh. Ngapi? Unahonga sh. Ngapi? Yaani inakuuma kuchangia elfu 10 watoto wapate maabara? Mbona harusi hulii hivi??

Watanzania tujifunze kujenga nchi....
 
Na ni vema tukatafakari zaidi ya mara moja hii kauli ya Mwigulu eti anadhibiti watumishi wanaolipwa mishahara hewa kwa hiyo mishahara yote ya Watumishi italipiwa kupitia hazina, kwanza kabisa tangu utaratibu huu uanze hakuna Salary Sleep zilizopelekwa halmashauri ili watumishi wajue uhalisia wa mishahara yao kwa hiyo Mwigulu amefanya hivi makusudi ili watumishi wakatwe fedha wakiwemo hao walimu pasipo kugundua na kufanikisha malengo yao ya kampeni za 2015.

umenena vyeman maana mwezi wa nne sasa hakuma salary slip. nasikia kuwa kila mfanyakazi kuna percent anakatwa kimya kimya ili kugaramia kampeni za 2015
 
Hivi kwa siku unakula sh. Ngapi hadi ukimbilie kufungua thread ya malalamiko kukatwa elfu 10 tena kwa mwezi??

Unakunywa pombe za sh. Ngapi? Unahonga sh. Ngapi? Yaani inakuuma kuchangia elfu 10 watoto wapate maabara? Mbona harusi hulii hivi??

Watanzania tujifunze kujenga nchi....

Wewe hata kukuita m.p.u.mb.avu ni kama kukusifu! Kodi wanayokatwa wafanyakazi inafanya kazi gani hadi wachangie ujenzi wa maabara? Mbona wafanyakazi wengine wasikatwe mishahara yao isipokuwa waalimu tu?
 
hujitambui. unadhani walimu wote ni CCM?
Halafu mwanao au nduguyo akifeli unaema walimu hawafundishi
tulia, tafakari. katika nchi yoyote ile, sekta moja inapoyumba, nchi nzima huangamia.
wanaongaamia ni pamoja wewe unaejisikia raha kubonyeza buttons kuandika mawazo mufilisi kushadadia upuuzi huu.

Usitoe povo jitambueni kwanza ndio msaidiwe. Sio uongo nyie mnasaidia uchakachuaji kwenye chaguzi acha muone chamoto ili mrudi kwenye mstari ulionyooka
 
Wewe hata kukuita m.p.u.mb.avu ni kama kukusifu! Kodi wanayokatwa wafanyakazi inafanya kazi gani hadi wachangie ujenzi wa maabara? Mbona wafanyakazi wengine wasikatwe mishahara yao isipokuwa waalimu tu?

Una uhakika wote hawakatwi??

Hivi elfu 10 inakunguzia nini? Mbona wengine tunachangia kila kaya?

Unaona fahari kutumia elfu 30 bar halafu kuchangia elfu 10 maabara ndio muhali???
 
Mbona umetokwa povu Sana? Nijikite kujadili upuuzi?

Nape kaingiaje hapa? Binti mi sio size yako...

na huwezi kuwa saiz yangu maana hata IQ yako inaingia mara 1000 kwangu, kifupi huna hata hadhi ya kuwa mlisha mbwa wangu kwa uelewa wako ulivyo mdogo, nape na wewe mnafanana uwezo wenu wa kufikiri ndio maana akawa bosi wako anae kuweka mjini,jitu kubwa akili kisoda,
na huwezi kuja kujifananisha na mimi hata lepe, maana jeuri hiyo huna, wewe ni juha na utabaki kuwa juha tu! Utatumika na wala rushwa watakugeuza weeeee! Wakikuchoka watakutia kapuni kama pedi. Shwain.
 
na huwezi kuwa saiz yangu maana hata IQ yako inaingia mara 1000 kwangu, kifupi huna hata hadhi ya kuwa mlisha mbwa wangu kwa uelewa wako ulivyo mdogo, nape na wewe mnafanana uwezo wenu wa kufikiri ndio maana akawa bosi wako anae kuweka mjini,jitu kubwa akili kisoda,
na huwezi kuja kujifananisha na mimi hata lepe, maana jeuri hiyo huna, wewe ni juha na utabaki kuwa juha tu! Utatumika na wala rushwa watakugeuza weeeee! Wakikuchoka watakutia kapuni kama pedi. Shwain.


Teh teh teh povu lanini dadangu?

Mi nina cheo kikubwa kuliko Nape sasa atawezaje kuwa boss wangu??

Unajifariji nyuma ya keyboard Una IQ kubwa wewe punguani? Una mlisha mbwa umpate wapi wakati Hadhi yako Kama huyo mbwa??

Relax bibie hii game huiwezi.
 
Mbona umetokwa povu Sana? Nijikite kujadili upuuzi?

Nape kaingiaje hapa? Binti mi sio size yako...

na huwezi kuwa saiz yangu maana hata IQ yako inaingia mara 1000 kwangu, kifupi huna hata hadhi ya kuwa mlisha mbwa wangu kwa uelewa wako ulivyo mdogo, nape na wewe mnafanana uwezo wenu wa kufikiri ndio maana akawa bosi wako anae kuweka mjini,jitu kubwa akili kisoda,
na huwezi kuja kujifananisha na mimi hata lepe, maana jeuri hiyo huna, wewe ni juha na utabaki kuwa juha tu! Utatumika na wala rushwa watakugeuza weeeee! Wakikuchoka watakutia kapuni kama pedi, mtu gani unaye washangilia wala rushwa ilihali uchumi wa taifa unayumba!?mnajifanya hamuoni ili mtetee njaa zenu za siku moja mnasahau kwamba na vizazi vyenu vita ishi ndani ya nchi hii hii inayo malizwa na wala rushwa mnao watetea,halafu eti bado mnataka kuitwa great thinkers, lol? Shwain
 
Una uhakika wote hawakatwi??

Hivi elfu 10 inakunguzia nini? Mbona wengine tunachangia kila kaya?

Unaona fahari kutumia elfu 30 bar halafu kuchangia elfu 10 maabara ndio muhali???

Reasoning capacity yako ni ndogo sana. Unashindwa hata kutofautisha michango ya hiari ya lazima?
Mleta mada anahoji uhalali wa walimu kama watumishi wa serikali (kama watumishi wengine) kuchangia maabara. Swali ni kwa nini walimu ndo wachangie na si wafanyakazi wote?
 
Una uhakika wote hawakatwi??

Hivi elfu 10 inakunguzia nini? Mbona wengine tunachangia kila kaya?

Unaona fahari kutumia elfu 30 bar halafu kuchangia elfu 10 maabara ndio muhali???

Namna gani mtu anatumia mshahara wake sio juu yako, yangu au ya Serikali! Ahonge, anywee au vyovyote apendavyo ni hiari yake mwenyewe. Na nina uhakika ndio kuwa ni waalimu peke yao ndio waliotajwa kwenye waraka.
 
Reasoning capacity yako ni ndogo sana. Unashindwa hata kutofautisha michango ya hiari ya lazima?
Mleta mada anahoji uhalali wa walimu kama watumishi wa serikali (kama watumishi wengine) kuchangia maabara. Swali ni kwa nini walimu ndo wachangie na si wafanyakazi wote?


We ndo reasoning yako ni poor....

Nimeuliza ana uhakika Kama ni walimu tu au wafanyakazi wote?
 
Back
Top Bottom