PakavuNateleza
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 1,106
- 1,297
Hawaonewi wanakatwa ile hela waliyopewa kuisaidia CCM kuiba kurakweli kabisa chenji IPO,walimu wanaonewa
Hawaonewi wanakatwa ile hela waliyopewa kuisaidia CCM kuiba kurakweli kabisa chenji IPO,walimu wanaonewa
Duuuuh nilijuaga umeenda shule hata kidogo kumbe papai tu kichwani?
Salary sleep ndo kitu gani? ndo maana mna poor reasoning Sana maana hamna akili...
siku nyingine usirudie inaitwa Salary Slip

Litakuchoma Sana bibie wenzio tunakula maisha tu
mama mipasho! Tena! Sheeedh! We msomi noma sana!
huu ndo ujinga wa mtanzania hivi hujui shuli hizi wanasoma wanao na watoto wa nduguzo?
Hawaonewi wanakatwa ile hela waliyopewa kuisaidia CCM kuiba kura
Uliandika hivi
" Salary sleep ndo kitu gani? ndo maana
mna poor reasoning Sana maana
hamna akili..."
Hapa haukumaanisha mtu mmoja ulimaanisha wengi. Mkuu hao walimu unaowatukana wana poor reasoning bila wao usingekuwepo hapo ulipo, huwa sipendi kuona mwalimu akitukanwa na kidhalilishwa.
Na mtu kukosea kuandika ni mapungufu tu ya kibinadamu, ndo maana kwenye lugha hasa second language kuna errors na mistakes.
Mbona usomi wangu unakuuma Sana??
ivi nikiambiwa nipeleke wasomi nije nikupeleke wewe! Hahahaaa! you cant be serious dude!
Nimeajiriwa nina kazi nzuri huo uchumia tumbo siufahamu hata!!!!
walimu wenzangu tuacheni uoga wa kijinga jamani, sasa mnakatwa mishahara yenu nyie mpo kimya. Huu ni ujinga tena sn. CWT mko wapi mbona walimu tunaonewa nyie mpo kimya?
Walimu nyie ni waoga na hamna wa kumlaumu ila nyie wenyewe.Nakumbuka ilikuwa 2004 kulitokea ugonjwa wa mifugo Dodoma wakachukua mishahara yenu wakaenda kununulia dawa za majosho.Mishahara ikachelewa for ten days nyie kimya and come 2005 mkaichagua CCM kwa kishindo.Mtakatwa hadi mavuzi mwaka huu
toka niingie jukwaa hili sijawahi kuona mtu wa hovyo kama wewe.
wakuu mbona mmehama kwenye hoja ya msingi mnapiga majungu na majingambo yasiyo na msingi hapa hatujuani kwa sababu kila mmoja anatumia id fake sasa .
mi stoi ng'ooo
labda km nimefoji vyeti ila km vyangu
waende zao
haa haa,mkuu nasikia walimu ndo wanaoongoza kuisaidia ccm kwa kuchakachua kura wakati wa uchaguzi ili ishinde kwa kishindo!
Kukatwa unaelewa maana yake? utasemaje hutoi wakati umeambiwa unakatwa! kuwa serious!mi stoi ng'ooo
labda km nimefoji vyeti ila km vyangu
waende zao