Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 617
- 854
Soma na Utafakari:
Ndugu zangu nilivyosikia kwa mara ya kwnza wiki iliyopita kuwa walimu wote wakatwe tsh.10,000/= ktk mishahara yao nchi nzima nilidhani ni jambo tu lililovumishwa katika mitandao ya kijamii yetu hizi lakin kumbe serikali hii ya kidhalimu imedhamiria kumuadabisha mtu wa hali ya chini na kuzidi kudidimiza.
Ndugu zangu haiingii akilini kwa watu wazima tena wachumi na viongozi wenye kumjua mwalimu ni mfanyakazi mwenye kulipwa mshahara wa chini sana kuamua kumuambia mwalimu eti akatwe mshahara wake kiduchu kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara mashuleni!
Naomba kujua vitu viwili vitatu hivi;
1. Ilani ya ccm(2010-2015) imetamka hivyo kuwa maabara za shule zitajengwa kwa kuchangiwa na mwalimu mwenyew?
2. Kama haikutamka hivyo serikali ya ccm inaongoza nchi kwa kutumia ilani ya chama gani?
3. Walimu hawa wao ni wazalendo kiasi gani mpaka kubeba mzigo huo huku wawekezaji wakisamehewa kodi katika mikataba yao ya uwekezaji?
4. Kwa tamko hili unadhani Mheshimiwa Rais amepata washauri wazuri kweli?
5. Kodi ya kila mwezi anayokatwa mwalimu inapelekwa wapi?
Nahis huu ni mfumo mpya wa maendeleo kuwa kila mfanyakazi kuchangia maendeleo ya sekta yake mfano pengine tutasikia madaktari na manesi wakikatwa mishahara kuchangia madawa na mengineyo ilihali kodi anakatwa kama raia mwngne.
Nionavyo mimi, Hii ni pesa inayokusanywa pengine kwa ajili ya uchaguzi wa mwakani 2015. Walimu tuamke kupinga udhalimu huu sio haki hata kidogo. Tumuezi baba wa Taifa (Mwalimu by professional) mwaka huu 14/10/2014 kwa kupinga hadharani bila kificho huku ni zaidi ya kudhalilishana jamani.
Ndugu zangu nilivyosikia kwa mara ya kwnza wiki iliyopita kuwa walimu wote wakatwe tsh.10,000/= ktk mishahara yao nchi nzima nilidhani ni jambo tu lililovumishwa katika mitandao ya kijamii yetu hizi lakin kumbe serikali hii ya kidhalimu imedhamiria kumuadabisha mtu wa hali ya chini na kuzidi kudidimiza.
Ndugu zangu haiingii akilini kwa watu wazima tena wachumi na viongozi wenye kumjua mwalimu ni mfanyakazi mwenye kulipwa mshahara wa chini sana kuamua kumuambia mwalimu eti akatwe mshahara wake kiduchu kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara mashuleni!
Naomba kujua vitu viwili vitatu hivi;
1. Ilani ya ccm(2010-2015) imetamka hivyo kuwa maabara za shule zitajengwa kwa kuchangiwa na mwalimu mwenyew?
2. Kama haikutamka hivyo serikali ya ccm inaongoza nchi kwa kutumia ilani ya chama gani?
3. Walimu hawa wao ni wazalendo kiasi gani mpaka kubeba mzigo huo huku wawekezaji wakisamehewa kodi katika mikataba yao ya uwekezaji?
4. Kwa tamko hili unadhani Mheshimiwa Rais amepata washauri wazuri kweli?
5. Kodi ya kila mwezi anayokatwa mwalimu inapelekwa wapi?
Nahis huu ni mfumo mpya wa maendeleo kuwa kila mfanyakazi kuchangia maendeleo ya sekta yake mfano pengine tutasikia madaktari na manesi wakikatwa mishahara kuchangia madawa na mengineyo ilihali kodi anakatwa kama raia mwngne.
Nionavyo mimi, Hii ni pesa inayokusanywa pengine kwa ajili ya uchaguzi wa mwakani 2015. Walimu tuamke kupinga udhalimu huu sio haki hata kidogo. Tumuezi baba wa Taifa (Mwalimu by professional) mwaka huu 14/10/2014 kwa kupinga hadharani bila kificho huku ni zaidi ya kudhalilishana jamani.