Tujadili hili janga kuokoa Walimu Nchini

Tujadili hili janga kuokoa Walimu Nchini

huyu lusungo ana matatizo ya akili na hilo ndilo tatizo kubwa sana linalo msumbua.


Wivu na kijicho vinakusumbua naona baada ya kukutajia elimu yangu roho imekulipuka....
 
Last edited by a moderator:
Wivu na kijicho vinakusumbua naona baada ya kukutajia elimu yangu roho imekulipuka....

GANDA LA MUA LA JANA , chungu kaona vuno ,ni utoto tu ndio tatizo lako malimbikeni hawaishi mtu mwenye elimu kama hiyo huku kwetu ni tarishi tu! Kaongeze elimu kidogo labda uta jitambua kidogo maana waonesha una ka u adolescent kanako kusumbua.
 
GANDA LA MUA LA JANA , chungu kaona vuno ,ni utoto tu ndio tatizo lako malimbikeni hawaishi mtu mwenye elimu kama hiyo huku kwetu ni tarishi tu! Kaongeze elimu kidogo labda uta jitambua kidogo maana waonesha una ka u adolescent kanako kusumbua.


Hahhha kwa elimu yako ya The Amazon College au??

Saga chupa unywe mpashukuna wewe Leo umeipata fresh
 
Walimu pigeni kampeni kwa watoto,tuiondoe serikali dhalimu madarakani.
 
shida kweli kweli mara salary sleep naye anayemrekebisha mwenzie sary slip. Heri mimi sijasema napita tu.
 
Hahhha kwa elimu yako ya The Amazon College au??

Saga chupa unywe mpashukuna wewe Leo umeipata fresh

mh! Ona sasa Hata haueleweki umebaki kujishongondoa unatia hadi kinyaa tu! Ptuuuu! Bora kinyesi kina faida kwenye mimea kama samadi kuliko mbunye wewe! aghhhh! Ptuuu, ccm inawatumia vilivyo ndio maana hamjielewi ka mandondocha fulani, umeishiwa hoja saivi umeamua kutema pumba tupu! Haya kakojoe ukalale maana nyie vitoto bila kukojoleshwa hamkawii kuangusha kojo kitandani.
 
Usitoe povo jitambueni kwanza ndio msaidiwe. Sio uongo nyie mnasaidia uchakachuaji kwenye chaguzi acha muone chamoto ili mrudi kwenye mstari ulionyooka

povu halipo hapo ila for a GT like you to write this comment, this nation needs spiritual deliverance.

kama huwezi fikiria nini kinaweza kutokea endapo walimu watakomolewa serikali ya CCM............

Kama walimu huchakachua mbona vyama vya upinzani havijawashitaki?

NEC hufanya nini hadi iwaachie walimu mambo ya uchaguzi

Try to use your brain before you call yourself a GT

GT my nose.
 
Wakikata tu hata senti kwenye mshahara wangu naacha kazi make maisha ni zaidi ya ualimu. kumbukeni kuwa tushachangia huku kama wazazi wengine kwahyo kufanya hvyo ni kutukandamiza wakisahau kwamba tumewavumilia kwa kipindi kirefu, madai yetu hawataki kulipa, hatuna mahala pa kuishi tunapanga kwenye miji ya watu yaani ni shida tupu hakuna raha hata kidogo.
Maabara wajenge tu na anayetegemewa kufundisha ktk maabara hayo ni mimi mwl na ndiye nakatwa pesa yangu kwa ulazima ss cjui wanategemea nini, nitawafundisha watoto matango pori ili wafeli vizuri sasa.
Kama leo wameamua kunikata sh elfu kumi bila idhini yangu basi cku nyingine yawezekana wasinilipe kabisa au hata wakakata pensheni yangu nusu kwa nusu.
Jamani walimu tusikubali kabisa.
 
mh! Ona sasa Hata haueleweki umebaki kujishongondoa unatia hadi kinyaa tu! Ptuuuu! Bora kinyesi kina faida kwenye mimea kama samadi kuliko mbunye wewe! aghhhh! Ptuuu, ccm inawatumia vilivyo ndio maana hamjielewi ka mandondocha fulani, umeishiwa hoja saivi umeamua kutema pumba tupu! Haya kakojoe ukalale maana nyie vitoto bila kukojoleshwa hamkawii kuangusha kojo kitandani.

Kwani Dada kinachokutoa povu nini?
 
Duuuuh nilijuaga umeenda shule hata kidogo kumbe papai tu kichwani?

Salary sleep ndo kitu gani? ndo maana mna poor reasoning Sana maana hamna akili...


siku nyingine usirudie inaitwa Salary Slip

Ndo na wewe unajiona kichwa chako ni kizuri,yote mwenzako aliyoandika umeona kosa hilo tu!,TZ yangu ina angamia kwa kukosa maarifa!
 
Nina elimu ndogo? We bwanamdogo usifikiri kila MTU ni duni Kama wewe nina elimu ifuatayo...

Post graduate diploma ya diplomasia.....

LLB. ( hons) university of Dar es salaam

MA. In international and intercultural communication...

University of Denver, Colorado USA......

Usijefikiri kwakuwa tunajadiliana hapa basi tupo sawa...

Punguani wahed!!!!

tuna wengi wa mfano wako lakini TZ inaangamia!, masikini nchi yangu!!.
 
Back
Top Bottom